johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,736
- 141,597
Waziri wa Viwanda na Biashara Prof. Kitila Mkumbo amewapongeza wamachinga wa mkoa wa Morogoro kwa kuweza kujipangia utaratibu mzuri wa kufanya biashara.
Prof. Kitila Mkumbo amewaalika Mawaziri wenzake wa biashara kutoka nchi zote barani Afrika wafike Morogoro kujifunza.
Chanzo: ITV habari
Prof. Kitila Mkumbo amewaalika Mawaziri wenzake wa biashara kutoka nchi zote barani Afrika wafike Morogoro kujifunza.
Chanzo: ITV habari