Minaely mimi
New Member
- Aug 29, 2020
- 2
- 2
Mgombea Ubunge Jimbo la Ubungo kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi, Prof. Kitila Mkumbo, ambaye ni mwanazuoni mbobevu na mkazi wa Ubungo kwa zaidi ya miaka 20, kesho atazindua rasmi kampeni zake kwa jimbo hilo.
Prof. Kitila ambaye anapewa nafasi kubwa ya kuwa mshindi wa jimbo hili, atazindua kampeni hizo katika viwanja vya EPZA vilivyo external karibu na hostel za abibo.
Hii ni mara ya kwanza kwa Profesa Kitila kugombea jimbo hili ila tayari ana uzoefu mkubwa katika siasa za tanzania na utumishi Serikalini, kwani amekua mshauri mkuu wa chama cha ACT- Wazalendo kabla hajateuliwa kuwa Katibu Wizara ya Maji na Umwagiliaji.
Prof. Kitila Mkumbo anagombea jimbo hili ambalo kwa miaka kumi lilikuwa chini ya umiliki wa CHADEMA.
Ni zamu sasa ya wana ubungo kupata sera na uongozi utakaowasogeza mbele hivyo wanahimizwa kesho kujitokeza kwa wingi kumsikiliza.
Prof. Kitila ambaye anapewa nafasi kubwa ya kuwa mshindi wa jimbo hili, atazindua kampeni hizo katika viwanja vya EPZA vilivyo external karibu na hostel za abibo.
Hii ni mara ya kwanza kwa Profesa Kitila kugombea jimbo hili ila tayari ana uzoefu mkubwa katika siasa za tanzania na utumishi Serikalini, kwani amekua mshauri mkuu wa chama cha ACT- Wazalendo kabla hajateuliwa kuwa Katibu Wizara ya Maji na Umwagiliaji.
Prof. Kitila Mkumbo anagombea jimbo hili ambalo kwa miaka kumi lilikuwa chini ya umiliki wa CHADEMA.
Ni zamu sasa ya wana ubungo kupata sera na uongozi utakaowasogeza mbele hivyo wanahimizwa kesho kujitokeza kwa wingi kumsikiliza.