Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,467
- 113,571
Thanks for this.
Nahisi kama akili yote kahamishia 2020.
P
Nahisi kama akili yote kahamishia 2020.
P
Katibu mkuu anapaswa kufikiria hili suala kwa kina, kupandisha gharama kumpelekea mzigo mtumiaji (mwananchi)
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaa...... Umenikumbusha kadi namba 1 aliyopewa maalimu Seif pale ACT wazalendo!
unadhani katibu mkuu anaweza kufanya hivyo bila baraka za waziri?
Tafuteni hela ,kulalamikia ndoo ya maji kwa sh15/- mpaka sh 20/- kama ilivyo hapo juu ndiyo nini ?kuna dawa ,usafirishaji matengenezo nk au siyo ninyi mliokuwa mkinunua maji ya mavi kwa sh 500 kwa ndoo tena mkiyagombania??
Mwambieni maji safi na salama ya kunywa ni haki ya binadamu kama ilivyo haki ya kuishi.Katibu Mkuu anasema maji mjini yawe 2500TZS kwa Cubic Meter badala ya around 1000TZ ilivyo sasa ili iwe sawa na Kijini ambako ndoo moja ni 50TZS sawa na karibu hiyo 2,500TZS kwa cubic Meter moja.
Hapo naona Mkumbo amepway sana katika kufikiri.
UCHUMI
Mosi bei ya bidhaa hutegemea demand and supply
Pili bei hutegemea gharama za uzalishaji na namna bidhaa inavyopatikana
Tatu bei hutegemea gharama za usambazaji
Nne bei hutegemea break even point and profit margin kwa ajili ya uendelevu wa mradi
Tano bei hutegemea idadi ya walaji pia
SIASA NA AFYA
Iwapo lengo ni kuleta maendeleo nadhani Mkumbo angneongelea kushusha bei kijijijni ili wanakijijij wamudu gharama za maji safi na salama
Kuwachagiza EWURA wapandishe bei mjini ni kumharibia kazi JPM kwa kila hali, na mbinu chafu za 2020
Maji safi na salama huzuia magonjwa, watanzania wanahitaji kumudu gharama za maji safi na salama kupunguza magonjwa na wala sio madawa mengi kukabiliana na magonjwa. Kinga bora kuliko tiba
KATIBU MKUU, wacha kuomba bei ya maji ipande maana unaharibu afya siasa na uchumi pia. Kumbuka iwapi gharama za maji zitakuwa kubwa na wengi kushindwa kuzimudu magonjwa yataongezeka kwa watz, hivyo uchumi kuyumba maana nguvu watu itapungua au kuathirika.
Iwapo waziri wako anaongelea wateja kuiba maji kwa ama gharama kubwa za kuunganishiwa na huduma hiyo kutopatikana, huoni wewe ni kituko kuongelea gharama zipande?
Kwa heshima sahihisha Taarfia yako ya Star TV 20 Machi 2019 Usiku saa 2.
Nawasilisha
Katibu Mkuu anasema maji mjini yawe 2500TZS kwa Cubic Meter badala ya around 1000TZ ilivyo sasa ili iwe sawa na Kijini ambako ndoo moja ni 50TZS sawa na karibu hiyo 2,500TZS kwa cubic Meter moja.
Hapo naona Mkumbo amepway sana katika kufikiri.
UCHUMI
Mosi bei ya bidhaa hutegemea demand and supply
Pili bei hutegemea gharama za uzalishaji na namna bidhaa inavyopatikana
Tatu bei hutegemea gharama za usambazaji
Nne bei hutegemea break even point and profit margin kwa ajili ya uendelevu wa mradi
Tano bei hutegemea idadi ya walaji pia
SIASA NA AFYA
Iwapo lengo ni kuleta maendeleo nadhani Mkumbo angneongelea kushusha bei kijijijni ili wanakijijij wamudu gharama za maji safi na salama
Kuwachagiza EWURA wapandishe bei mjini ni kumharibia kazi JPM kwa kila hali, na mbinu chafu za 2020
Maji safi na salama huzuia magonjwa, watanzania wanahitaji kumudu gharama za maji safi na salama kupunguza magonjwa na wala sio madawa mengi kukabiliana na magonjwa. Kinga bora kuliko tiba
KATIBU MKUU, wacha kuomba bei ya maji ipande maana unaharibu afya siasa na uchumi pia. Kumbuka iwapi gharama za maji zitakuwa kubwa na wengi kushindwa kuzimudu magonjwa yataongezeka kwa watz, hivyo uchumi kuyumba maana nguvu watu itapungua au kuathirika.
Iwapo waziri wako anaongelea wateja kuiba maji kwa ama gharama kubwa za kuunganishiwa na huduma hiyo kutopatikana, huoni wewe ni kituko kuongelea gharama zipande?
Kwa heshima sahihisha Taarfia yako ya Star TV 20 Machi 2019 Usiku saa 2.
Nawasilisha