Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maswali mengine ni ya kitaahira.
kwaiyo flyover zisijengwe kwakuwa wananchi awali flyover!!
wewe ndo Rais wa mazezeta Tanzania.
Maswali mengine ni ya kitaahira.
kwaiyo flyover zisijengwe kwakuwa wananchi awali flyover!!
wewe ndo Rais wa mazezeta Tanzania.
Maswali mengine ni ya kitaahira.
kwaiyo flyover zisijengwe kwakuwa wananchi awali flyover!!
wewe ndo Rais wa mazezeta Tanzania.
Kwa huu mdororo wa uchumi,flyover zinamsaidia nini mmachinga?Maswali mengine ni ya kitaahira.
kwaiyo flyover zisijengwe kwakuwa wananchi awali flyover!!
wewe ndo Rais wa mazezeta Tanzania.
Bora Darasa La Nne AUprofessa wa Bongo bhana!
Mgombea Ubunge wa jimbo la Ubungo Prof Mkumbo leo amesali katika Kanisa la KKKT Kimara na hajatakiwa kuongea chochote kwa sababu yeye ni mgombea wa chama cha siasa.
Hata hivyo mchungaji Matsai amemtaka Prof Mkumbo kufikisha shukrani za usharika huo kwa Rais Magufuli ikiwemo ujenzi wa flyover za Ubungo na namna alivyoitokomeza Corona.
Mchungaji amewashangaa wanaokebehi maendeleo ya vitu na kusema watu hao hawajui walisemalo.
Maendeleo hayana vyama!
Leo watu hawajatoa sadaka.Hawataki dharau.Yaani waumini wamekuja kusali kanisani, wanataka kusikia habari za Yesu Kristo, yeye anaongea habari za CCM, sasa anataka iweje?