Nafikiri atakayemuunga mkono ndiye mwenye matatizo ya akili, kwa sababu leo Rais amemteua huyo Kitila Mkumbo na amekubali uteuzi kinyume na msimamo wake.. Haipendezi kumuita mnafiki.Ni ushauri mzuri na atakayempinga anamatatizo ya akili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafikiri atakayemuunga mkono ndiye mwenye matatizo ya akili, kwa sababu leo Rais amemteua huyo Kitila Mkumbo na amekubali uteuzi kinyume na msimamo wake.. Haipendezi kumuita mnafiki.Ni ushauri mzuri na atakayempinga anamatatizo ya akili
Sasa dokta prof mkumbo kajipinga sasaNi ushauri mzuri na atakayempinga anamatatizo ya akili
Siamini sikuuona huu uzi,ila uliuliza swali zuri sanaYeye akiteuliwa ATAKATAA?
DuhUna sababu gani ya kuamini au kutoamini?
Kwamba ni kosa kubwa kwa wabunge wa ccm kwenda kumwona mh,lema mahabusu kwasababu mh, lema ni mpinzani, hili likawa kosa la usaliti kwa chama. Ikiwa kwa ccm ilieleweka je hili laa kitila kuwa katibu mkuu si ndo baya zaidi kwa wanaccm maana mwenyekiti asishatanabaisha mahusiano yanayvopaswa kuwa kati ya wapinzani na wanaccm?
Kwako kitila, leo tunaweza kuwa tunaongelea kuingia kwako wizarani lakina hakika siku zaja tutakapongelea kutoka kwako wizarani vyovyote vile itavyokuwa hutrudi DUCE na hapo historia mpya kwako itakua inaanza upya.
Najiuliza ugumu uko wapi msomi kuyaishi mawazo yake, what went wrong my friend? abbyssuss abyssum invocat
Dada yangu sio binadamu wote..Aisee. Binadamu analoongea na analotenda haviendani kamwe
Hilo lilikuwa swali la kinabii. Kusema ni rahisi zaidi kuliko maneno.Yeye akiteuliwa ATAKATAA?
Kwani hivyo vyuo havina SUCCESSION PLAN? Haviandai watu wa kushika nafasi iwapo mmoja akiondoka aliye chini apande? Hivyo vyuo vina tabia ya one man show kwenye vitivo ?
HahahahahaDada yangu sio binadamu wote..
NI MAPROFESA WETU TU...
Atakuja akujibu hapa MkuuYeye akiteuliwa ATAKATAA?
Umeshapata jibu!??Yeye akiteuliwa ATAKATAA?
Kwa hii comment umekumbukwaYeye akiteuliwa ATAKATAA?
Hivi kweli huna aibu unatuletea habari ya gazeti hili na kutaka tuamini habari hii. Hili si kama yale magazeti fake ya Mwanahalisi kama ya udaku tuu yaliyokuwa yanatutajia mafisadi, kumbe mwishowe inaonekana eti siyo mafisadi. Hao hao wamewasafisha. Kamanda ondoa takataka hiiWana jamvi Salaam
Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam, Prof. Kitila Mkumbo amemshauri Mh Rais Magufuli aache kuteua Wahadhiri katika nafasi za kisiasa ama majukumu mengine kwa kuwa vyuo vikuu vimeanza kukabiliwa na uhaba wa wahadhiri baada ya wengi wao kupewa teuzi mbalimbali.
Aidha Prof Kitila amesema vyuo vikuu vilivyoathirika zaidi baada ya wengi wa wahadhiri wake kuteuliwa ni Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) na Chuo kikuu cha Dodoma (UDOM).
Chanzo: Tanzania Daima