Prof Kitila: Magufuli usiteue Wahadhiri

comrade igwe

JF-Expert Member
Jan 12, 2015
7,295
3,939
Wana jamvi Salaam

Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam, Prof. Kitila Mkumbo amemshauri Mh Rais Magufuli aache kuteua Wahadhiri katika nafasi za kisiasa ama majukumu mengine kwa kuwa vyuo vikuu vimeanza kukabiliwa na uhaba wa wahadhiri baada ya wengi wao kupewa teuzi mbalimbali.

Aidha Prof Kitila amesema vyuo vikuu vilivyoathirika zaidi baada ya wengi wa wahadhiri wake kuteuliwa ni Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) na Chuo kikuu cha Dodoma (UDOM).

Chanzo: Tanzania Daima
 
Wana jamvi Salaam

Mhadhiri Muandamizi wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam, Prof. Kitila Mkumbo amemshauri Mh Rais Magufuli aache kuteua Wahadhiri katika nafasi za kisiasa ama majukumu mengine kwa kuwa vyuo vikuu vimeanza kukabiliwa na uhaba wa wahadhiri baada ya wengi wao kupewa teuzi mbalimbali.

Aidha Prof Kitila amesema vyuo vikuu vilivyoathirika zaidi baada ya wengi wa wahadhiri wake kuteuliwa ni Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) na Chuo kikuu cha Dodoma (UDOM).

Chanzo: Tanzania Daima
Mbona yeye anashinda ACT wazalendo? Anatafuta kiki huyo ni wivu
 
Wana jamvi
Salaam

Mhadhiri Muandamizi wa Chuo kikuu cha Daresalaam Prof Kitila Mkumbo amemshauri Mh Rais Magufuli aache kuteua Wahadhiri katika nafasi za kisiasa ama majukumu mengine kwa kua vyuo vikuu vimeanza kukabiliwa na uhaba wa wahadhiri baada ya wengi wao kupewa teuzi mbalimbali, Aidha Prof Kitila amesema vyuo vikuu viliathirika zaidi baada ya wengi wa wahadhiri wake kuteuliwa ni chuo kikuu cha Daresalaam na Chuo kikuu cha Dodoma
Chanzo: Tanzania Daima
Yeye akiteuliwa ATAKATAA?
 
Wana jamvi
Salaam

Mhadhiri Muandamizi wa Chuo kikuu cha Daresalaam Prof Kitila Mkumbo amemshauri Mh Rais Magufuli aache kuteua Wahadhiri katika nafasi za kisiasa ama majukumu mengine kwa kua vyuo vikuu vimeanza kukabiliwa na uhaba wa wahadhiri baada ya wengi wao kupewa teuzi mbalimbali, Aidha Prof Kitila amesema vyuo vikuu viliathirika zaidi baada ya wengi wa wahadhiri wake kuteuliwa ni chuo kikuu cha Daresalaam na Chuo kikuu cha Dodoma
Chanzo: Tanzania Daima

Kwani hivyo vyuo havina SUCCESSION PLAN? Haviandai watu wa kushika nafasi iwapo mmoja akiondoka aliye chini apande? Hivyo vyuo vina tabia ya one man show kwenye vitivo ?
 
Kwani hivyo vyuo havina SUCCESSION PLAN? Haviandai watu wa kushika nafasi iwapo mmoja akiondoka aliye chini apande? Hivyo vyuo vina tabia ya one man show kwenye vitivo ?

Mkuu plann ipo lakini ipo timely kabisa wanajua lini atastaafu long term plan hiyo lakini linapokuja suala la teuzi za ghafla inakua shida, wanaweza kuazima temporary kutoka sehemu ingine sasa Dr and Prof wengi wameondoka kwa ghafla hii haiko vizuri kabisa
 
Mkuu plann ipo lakini ipo timely kabisa wanajua lini atastaafu long term plan hiyo lakini linapokuja suala la teuzi za ghafla inakua shida, wanaweza kuazima temporary kutoka sehemu ingine sasa Dr and Prof wengi wameondoka kwa ghafla hii haiko vizuri kabisa

Ombeni vibali muajiri toka nje ya nchi kama nchini hawapo wakati mkiendelea na maandalizi ya wa kushika nafasi zao siku za usoni
 
>>>Tanzania tuna vijana wengi nao wanahitaji AJIRA..Sio lazima achukue hao wazee.
 
Back
Top Bottom