Doubleg Malafyale
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 1,886
- 2,214
Siyo hao tu ata kwenu wasingekubali mgeni aje agombee na mkampa mkamwacha mwenyeji wa hapoKitila ni mnyiramba so hawezi gombea kwa wanyaturu.Hawa watu wana ukabila
Ishu siyo kuwa kabila la hapo basi uwe ata mkazi wa jimbo husika ata kama kabila lako siyo la hapo