Tetesi: Prof. Kitila Mkumbo kuchuana vikali na Nyalandu jimboni

Hayawi hayawi, sasa yamekuwa. Kile kitendawili kigumu kilichokuwa kimekosa majibu sasa majawabu yake yako bayana! Kuna kila aina ya dalili CCM wanamuandaa Prof Kitila Mkumbo kuchauana vikali na Dr Lazaro Nyalandu katika uchaguzi mdogo unaotarajiwa kufanyika kumchagua mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini baada ya Dr Nyalandu kujiondoa CCM na kujiunga CHADEMA hivi karibuni.

Wataalamu wa masuala ya siasa wanabainisha kuwa CCM wamejithathmini na kuona wamteue Prof Kitila kuwa mgombea wao ili achuane na mgombea wa upinzani, Dr Nyalandu. Sababu zinazopelekea CCM walenge kumteua Prof Kitila ni kutokana na hali ya siasa za Kanda ya Kati ambazo hazitabiriki hata kidogo. Inadhaniwa Prof Kitila ana uwezekano wa kumuangusha Dr Nyalandu katika uchaguzi huo kwa kuwa bado ana chembechembe za upinzani, hivyo kuweza kujizolea mashabiki kutoka upande wa upinzani pamwe na upande wa CCM.

Aidha,upande wa CHADEMA nao wanatamba kuibuka washindi katika jimbo hilo kutokana na kuwa na hazina nzuri ya wafuasi, huku wakitarajia kupata "kura za chuki" za kutosha kutoka kwa wanaCCM, hasa wale wanaokerwa jinsi nchi inavyotawaliwa kwa sasa.

MAONI YANGU
Mimi kete yangu naitupia kwa Dr Nyalandu kuibuka na ushindi katika uchaguzi huo mdogo kwa kuwa bado ana wafuasi wa kutosha kutoka upande wa CCM, hasa wale wasioridhishwa jinsi CCM inavyomwandama Dr Nyalandu na kashfa za kutunga huku wakijua fika utumishi wa Dr Nyalandu haujawahi kuwa na doa lolote.

Je, wewe dau lako unalitupia kwa nani na kwa sababu gani? Toa maoni yako sasa!
Toka lini Nyalandu kawa Dr.?
 
Vitu vingine mjaribu kufikiria basi jamani, Unampelekaje Mnyiramba kwa wanyaturu watupu ashinde? Msimuaibishe tena msijaribu CCM na msikie kabisa.Tena huyu Prafesa angeachiwa ashindane na Jumbe tuu anamtosha kabisa.
Kwa Lazaro msimsumbue Profesa bure.

Hilo ameweza Kingu kwakua Mama yake ni mnyaturu, nae ni huruma tu aliyopewa baada ya Nkambaku kuuza jimbo
 
Hayawi hayawi, sasa yamekuwa. Kile kitendawili kigumu kilichokuwa kimekosa majibu sasa majawabu yake yako bayana! Kuna kila aina ya dalili CCM wanamuandaa Prof Kitila Mkumbo kuchauana vikali na Dr Lazaro Nyalandu katika uchaguzi mdogo unaotarajiwa kufanyika kumchagua mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini baada ya Dr Nyalandu kujiondoa CCM na kujiunga CHADEMA hivi karibuni.

Wataalamu wa masuala ya siasa wanabainisha kuwa CCM wamejithathmini na kuona wamteue Prof Kitila kuwa mgombea wao ili achuane na mgombea wa upinzani, Dr Nyalandu. Sababu zinazopelekea CCM walenge kumteua Prof Kitila ni kutokana na hali ya siasa za Kanda ya Kati ambazo hazitabiriki hata kidogo. Inadhaniwa Prof Kitila ana uwezekano wa kumuangusha Dr Nyalandu katika uchaguzi huo kwa kuwa bado ana chembechembe za upinzani, hivyo kuweza kujizolea mashabiki kutoka upande wa upinzani pamwe na upande wa CCM.

Aidha,upande wa CHADEMA nao wanatamba kuibuka washindi katika jimbo hilo kutokana na kuwa na hazina nzuri ya wafuasi, huku wakitarajia kupata "kura za chuki" za kutosha kutoka kwa wanaCCM, hasa wale wanaokerwa jinsi nchi inavyotawaliwa kwa sasa.

MAONI YANGU
Mimi kete yangu naitupia kwa Dr Nyalandu kuibuka na ushindi katika uchaguzi huo mdogo kwa kuwa bado ana wafuasi wa kutosha kutoka upande wa CCM, hasa wale wasioridhishwa jinsi CCM inavyomwandama Dr Nyalandu na kashfa za kutunga huku wakijua fika utumishi wa Dr Nyalandu haujawahi kuwa na doa lolote.

Je, wewe dau lako unalitupia kwa nani na kwa sababu gani? Toa maoni yako sasa!
Labda CCM waweke mwenyeji ndio atamsumbua Nyalandu, lakini wapeleke Mnyiramba akashinde huko? Wasahau!
 
Mumeo le hajamboooo

Nakuona unanitafuta... eeeeeh
Sikujua wewe ndio upo hivyo.. hadi imekupelekea kufikiri Mume wangu yupo kama wewe. Pole zako...
Upinzani naona umewaboa nyie wengi.. njoo tushangilie Lori
 
Mkuu,heshima kwako,Nakubaliana na wewe kwa sehemu fulani ,ila natofautiana na wewe mahali fulani.Umeeleza kuwa jimbo hilo asilimia kubwa ni CCM,sasa hauoni kuwa kwa CHADEMA ni bora kumsimamisha Nyalandu ambaye anamizizi kwa wana CCM anaweza kuzigawanya kura za CCM kuliko mtu hasiye na mizizi CCM ambaye hatopata kabisa za wana CCM unaokiri kuwa ndio wengi jimboni humo?.

Akiwa kampeni meneja napo sawa tu maana wanaomsapoti watamfuata na kumsikiliza
Maana yangu akiwekwa MTU mwingine ata wale waliomchoka akiwa CCM wanaweza wakamchagua huyo mpya wa chadema kuliko profesa mkumbo ambayo ni wa ilamba hawezi pita kwenye jimbo singida kaskazini ila chadema wasimsimamishe nyalandu kama mgombea maana watasema amelitumikia ili jimbo akiwa ccm miaka 20 hajafanya chochote cha msingi
Je akishinda kwa tiketi ya chadema atafanya nini ?
Kama alivyokuwa kwenye chama tawala alishindwa? Hiyo itamuua nyalandu
 
mnyiramba kwenye jimbo la wanyaturu
asahau kabisa
hakuna nafasi hiyo
wanyiramba wanadharaulika sana kwa wanyampaa

Mnyiramba kudharaulika kwa mnyaturu sikubaliani na wewe maana haya makabila ni watani wa jadi afu mnyaturu ndiye anayedharaulika maana mnyaturu shule hana wakati mnyilamba kasoma
Wasomi wengi toka singida ni wa kutoka ilamba maana kule wamisionari ndiko walijichimbia wakaanzisha shule watu walielimika mapema kwa hiyo mnyiramba ni msomi,maprof na ma DR ni wengi na ndio maana wanamdharau mnyaturu
Ila mnyaturu kumdharau mnyilamba sikweli mkuu,mnyaturu kichwani hana shule mwaarabu alimbania kumpa elimu alimwachia dini tu ndo maana utakuta ata mnyaturu aliyesoma ni mkristo
 
Nafikiri mmoja ni mnyirama na mwingene ni mnyaturu. Mtu anayejua historia ya hawa watu anajua tofauti zao
 
Wewe mbuzi Kitila hawezi gombea jimbo asilotoka akashinda, mnyiramba unyaturuni wapi na wapi , hawezi pata labda angekuwa mkazi huko. Ccm wakimuweka Joseph Monko, mkurugenzi wa halmashauri mmoja humu nchini ingeweZa mpa shida Nyalandu.
Hayawi hayawi, sasa yamekuwa. Kile kitendawili kigumu kilichokuwa kimekosa majibu sasa majawabu yake yako bayana! Kuna kila aina ya dalili CCM wanamuandaa Prof Kitila Mkumbo kuchauana vikali na Dr Lazaro Nyalandu katika uchaguzi mdogo unaotarajiwa kufanyika kumchagua mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini baada ya Dr Nyalandu kujiondoa CCM na kujiunga CHADEMA hivi karibuni.

Wataalamu wa masuala ya siasa wanabainisha kuwa CCM wamejithathmini na kuona wamteue Prof Kitila kuwa mgombea wao ili achuane na mgombea wa upinzani, Dr Nyalandu. Sababu zinazopelekea CCM walenge kumteua Prof Kitila ni kutokana na hali ya siasa za Kanda ya Kati ambazo hazitabiriki hata kidogo. Inadhaniwa Prof Kitila ana uwezekano wa kumuangusha Dr Nyalandu katika uchaguzi huo kwa kuwa bado ana chembechembe za upinzani, hivyo kuweza kujizolea mashabiki kutoka upande wa upinzani pamwe na upande wa CCM.

Aidha,upande wa CHADEMA nao wanatamba kuibuka washindi katika jimbo hilo kutokana na kuwa na hazina nzuri ya wafuasi, huku wakitarajia kupata "kura za chuki" za kutosha kutoka kwa wanaCCM, hasa wale wanaokerwa jinsi nchi inavyotawaliwa kwa sasa.

MAONI YANGU
Mimi kete yangu naitupia kwa Dr Nyalandu kuibuka na ushindi katika uchaguzi huo mdogo kwa kuwa bado ana wafuasi wa kutosha kutoka upande wa CCM, hasa wale wasioridhishwa jinsi CCM inavyomwandama Dr Nyalandu na kashfa za kutunga huku wakijua fika utumishi wa Dr Nyalandu haujawahi kuwa na doa lolote.

Je, wewe dau lako unalitupia kwa nani na kwa sababu gani? Toa maoni yako sasa!
 
Hayawi hayawi, sasa yamekuwa. Kile kitendawili kigumu kilichokuwa kimekosa majibu sasa majawabu yake yako bayana! Kuna kila aina ya dalili CCM wanamuandaa Prof Kitila Mkumbo kuchauana vikali na Dr Lazaro Nyalandu katika uchaguzi mdogo unaotarajiwa kufanyika kumchagua mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini baada ya Dr Nyalandu kujiondoa CCM na kujiunga CHADEMA hivi karibuni.

Wataalamu wa masuala ya siasa wanabainisha kuwa CCM wamejithathmini na kuona wamteue Prof Kitila kuwa mgombea wao ili achuane na mgombea wa upinzani, Dr Nyalandu. Sababu zinazopelekea CCM walenge kumteua Prof Kitila ni kutokana na hali ya siasa za Kanda ya Kati ambazo hazitabiriki hata kidogo. Inadhaniwa Prof Kitila ana uwezekano wa kumuangusha Dr Nyalandu katika uchaguzi huo kwa kuwa bado ana chembechembe za upinzani, hivyo kuweza kujizolea mashabiki kutoka upande wa upinzani pamwe na upande wa CCM.

Aidha,upande wa CHADEMA nao wanatamba kuibuka washindi katika jimbo hilo kutokana na kuwa na hazina nzuri ya wafuasi, huku wakitarajia kupata "kura za chuki" za kutosha kutoka kwa wanaCCM, hasa wale wanaokerwa jinsi nchi inavyotawaliwa kwa sasa.

MAONI YANGU
Mimi kete yangu naitupia kwa Dr Nyalandu kuibuka na ushindi katika uchaguzi huo mdogo kwa kuwa bado ana wafuasi wa kutosha kutoka upande wa CCM, hasa wale wasioridhishwa jinsi CCM inavyomwandama Dr Nyalandu na kashfa za kutunga huku wakijua fika utumishi wa Dr Nyalandu haujawahi kuwa na doa lolote.

Je, wewe dau lako unalitupia kwa nani na kwa sababu gani? Toa maoni yako sasa!
Wanyaturu sio wa hivyo, mnyiramba akagombee ubunge unyaturuni itakuwa kituko. Hapo chama cha kijani wataonekana mambwiga tu, hawaambulii chochote. Mtu kwao!
 
Ccm hawapaswi kumsimamisha kitila, kwa sababu kitila ni mwepesi mno ukimlinganisha na nyalandu
 
U
Mnyiramba kudharaulika kwa mnyaturu sikubaliani na wewe maana haya makabila ni watani wa jadi afu mnyaturu ndiye anayedharaulika maana mnyaturu shule hana wakati mnyilamba kasoma
Wasomi wengi toka singida ni wa kutoka ilamba maana kule wamisionari ndiko walijichimbia wakaanzisha shule watu walielimika mapema kwa hiyo mnyiramba ni msomi,maprof na ma DR ni wengi na ndio maana wanamdharau mnyaturu
Ila mnyaturu kumdharau mnyilamba sikweli mkuu,mnyaturu kichwani hana shule mwaarabu alimbania kumpa elimu alimwachia dini tu ndo maana utakuta ata mnyaturu aliyesoma ni mkristo
Upuuzi huo!
 
Kitila atashinda kirahisi sana ....strategically yatakuwa yale yale ya 2015 ....Chadema watatumia muda mwingi kujibu tuhuma za mgombea wao ....hili hawataweza kulikwepa ....Kama kweli Kitila atasimama then ndio mbunge mtarajiwa ....
 
Back
Top Bottom