Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,005
- 9,872
Waziri wa Viwanda na Biashara, Prof. Kitila Mkumbo amesema serikali imepunguza kodi kwenye bia zinazotumia shayiri ya Tanzania 100%
Amesema malalamiko ya kusema zimepunguzwa kwenye bia na kupelekwa kwenye miamala ni kutoelewa
Amesema dhumuni la kushusha kodi ni kuwezesha uanzishwaji wa kiwanda na kuchochea kilimo cha shayiri nchini
Amesema malalamiko ya kusema zimepunguzwa kwenye bia na kupelekwa kwenye miamala ni kutoelewa
Amesema dhumuni la kushusha kodi ni kuwezesha uanzishwaji wa kiwanda na kuchochea kilimo cha shayiri nchini