spencer
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 3,599
- 3,220
GreatThinkers,
Sikiliza TBC ingawa akiongea mazuri yao wanainterfere matangazo ila ni bora kuishi na wakoloni weupe kuliko wakoloni weusi. Acheni Mapr
Kwa kifupi anasema,
-Wakoloni walianzisha mashamba makubwa sana na mengi ya mkonge-sasa hivi hayapo
-Wakoloni walijenga mashule, mahakama,majengo ambazo zinadumu hadi leo, mfano Ilala quarters,Upanga quarters na Kurasini
-Walijenga Reli ya kati ambayo hadi leo lakini imeshindwa kutunzwa
Nitaendelea kuwapa updates
Sikiliza TBC ingawa akiongea mazuri yao wanainterfere matangazo ila ni bora kuishi na wakoloni weupe kuliko wakoloni weusi. Acheni Mapr
Kwa kifupi anasema,
-Wakoloni walianzisha mashamba makubwa sana na mengi ya mkonge-sasa hivi hayapo
-Wakoloni walijenga mashule, mahakama,majengo ambazo zinadumu hadi leo, mfano Ilala quarters,Upanga quarters na Kurasini
-Walijenga Reli ya kati ambayo hadi leo lakini imeshindwa kutunzwa
Nitaendelea kuwapa updates