Kuna watu wamefika mahali wakasema Rais ni mwizi jamani tumuogope Mungu huyu mzee wa watu angekuwa mwizi hata hizo kamati zisingeundwa tatizo ni walio mzunguka kwakweli wanaliangamiza taifa tuna rais msafi na asie ficha taka taka ktk serikali yake na nyote mtakuwa mashaidi pale atakapo neda sign baruwa za watakao jiuzulu tatizo lililopo sasa watu wana deal nyingine ukiacha hii inayo taka waondoa ktk uongozi wao ndio maana hawataki kuachia ngazi yani kiti ni kitamu inawauma
Upo uwezekano mkubwa watu kufutwa kazi huo ndi ukweli Kaka yao pinda atapigiwa kura then ndio mwisho wa safari
RAISI WETU NI MSAFI TENA KWA 100% ANAYE BISHA ATAKUBALI HAPO BAADAE
UJUMBE WA CHAMA HABEBWI MTU WAJIPIME NA WAACHIE NGAZI
Upo uwezekano mkubwa watu kufutwa kazi huo ndi ukweli Kaka yao pinda atapigiwa kura then ndio mwisho wa safari
RAISI WETU NI MSAFI TENA KWA 100% ANAYE BISHA ATAKUBALI HAPO BAADAE
UJUMBE WA CHAMA HABEBWI MTU WAJIPIME NA WAACHIE NGAZI