Prof. Kabudi: Watanzania tuache uoga, hakuna atakayeshitakiwa na ACACIA

me nashindwa kuelewa ni kwa nini tundu lissu anasimama pale bungeni na kuwaambia tena kwa kijiamini kuwa report zote 2,hle ya prof.mruma na mwenzake ni fake na rubbish alaf sioni MTU yeyote wa serikali hta uyu palamaganda cjui au uyo mruma mwenyewe aliyejaribu kumjibu wamekaa kimya!!that means kuna ukweli ndani yake ndio maana wameka kimya!!yaani hii nchi ni full fake fake!!inawezekana hata sisi ni fake hapa co kwetu!!
 
Maelezo ya kwa nini hatushitakiwi yapo kwenye thread.

Nadhani umesoma heading tu na kutoa komenti kama ilivyo kwa baadhi ya Watanzania.

Katika nchi mojawapo yenye wananchi wavivu wa kusoma/kujisomea, Tanzania inaweza kuwa ndani ya kumi bora. Inashangaza mtu akiona andiko lefu anasoma heading na kuanza kutoa komenti/maoni ambapo mara nyingi utakuta ni nje ya mada au hoja zake zinakuwa zimeishapatiwa majibu kwenye thread.

Kinachoshangaza zaidi unakuta komenti wanazotoa ni nusu mstari au mstari mmoja tu.

Mtanzania ukimwaambia aongee bila kuandika, anaweza hata akamaliza siku nzima akiongea lakini maongezi yake mara nyingi ni pumba tupu!
Mkuu unahangaika na wanaotumia vichwa vyao kufuga nywele ! Opposeeverything.com
 
msomi akishateuliwa serikalini tayari anaacha usomi wake pembeni. anajuaje hatutashitakiwa?
Hizo habari za kujua mambo ambayo hayajatokea ilifaa waachiwe watabiri warithi wa kina Sheikh Yahya Hussein.

Msomi wa sheria kusema anajua kesho itakuwaje ni ulaghai ama ujinga, pengine ni ulaghai wa kijinga.

Na kuwa concerned kuhusu litigation si uoga, ni common sense.
 
Ntakuachia uwanja wako mkubwa samahani Kama nimekukera
Huwa sio kawaida yako kutukana kwa sababu mimi ni mmoja wa watu ambao wanakuheshimu sana kutokana na hoja zako.

Leo umetoa matusi kitu ambacho kimeshingaza.

Anyway, today is weekend! Inawezekana umepata moja baridi na moja moto!
 
msomi akishateuliwa serikalini tayari anaacha usomi wake pembeni. anajuaje hatutashitakiwa?
Nafikiri ulipenda kusikia kuwa TUTASHITAKIWA. Lakini sijui ni kwanini dhana ya kushitakiwa au kushindwa kesi mmeipa kipaumbele sana wapinzan licha ya kupewa maelezo kibao na wataalam wetu.
 
Mkuu msemajiukweli ni hivi sipingi utetezu wako bali ninachoongelea hapa ni picha iliyojengeka tuna deal na wezi na kitakachoendelea ni wao kutulipa. Lakini kwa maelezo ya leo ya Kabudi naona ameingiza baridi na anachotuletea ni historia sijui wajerumani zamani walikataliwa na Nyerere, mara sijui waingereza na €5m na hadithi za namna hiyo, lakini sio leo tutalipwa lini.

Hizo sheria zinasaidia nini wakati wizi unaendelea na wala mikataba hii haiwagusi wezi wetu zaidi ya wezi watakaokuja baadae? Ni kwa nini iwe ya hati ya dharura wakati sio ya wezi wapya? Tulitahadharisha hapa kwamba wananchi wanapewa matumini makubwa lakini kinachochezwa ni siasa tu na hakuna uzalendo wowote. Nikuulize Mwinyi mpaka anasema rais aongezewe muda na Warioba kuandamana na wananchi kumpongeza rais huku wengine wakitaka aongezewe muda ni hii miswaada ya dharura? Bi dhahiri watu waliandamana wakijua tumeshika wezi na tutalipwa. Lakini chini ya hao walioaminisha watu hakuna kinachoendelea huku wezi Acacia wakiendelea na kazi zao kama kawa na hao watz waliotajwa na ripoti wote wanadunda tu. Ni hivi mnatuchezea siasa zisizo na tija na bado muda kidogo watu watashitukia hii siasa nyepesi wanayochezewa.
twaweza walisema wanaoshabikia ccm ni wazee,maskini,watu walio vijijini na hasa wale wenye elimu kuanzia la 7 kushuka!!usistaajabu ya hao walioandamana kumpongeza na kuomba aongezewe mda!!!maana hata katiba hawaijui!!mtaji wa ccm ndani ya hili taifa ni UJINGA
 
Wameshatunyonya sana acha mikataba yote irudiwe upya. Na siyo ya madini tu nahisi kwenye gasi ndo kumejaa uozo. Mikataba yote irudishwe bungeni.

Ila wabunge haswa wa CCM hata siwaelewi, ni kama bendera fuata upepo tu. Wao walikaa na kupitisha miswada yote ya madini kwa kura ya ndiyo. Wapinzani walipowapinga wakabakia kuzomea. Sasa hivi walichokuwa wanahoji wapinzani ndo kinawatokea puani.

Tukiacha mihemko na uchama tukaweka nchi yetu mbele nina uhakika kabisa Taifa letu litasonga mbele. Ila kama sheria zitapitishwa tu kwa sababu tunataka ushabiki wa chama chetu ushinde tutatambukia shimoni.

Nakubaliana kabisa Prof Palamagamba alichosema ni vyema tukaenda mbele kwa ujasiri mkubwa na kuangalia upya mikataba iliyowekwa ya madini na kutengeneza mikataba mipya kuliko kuweka mkia katikati ya mapaja.

Liwalo na liwe tu. Ama zao ama zetu. Hata tukiliwa basi tujuwe pia tumejaribu kurudi kwenye mstari ikashindikana na siyo kubakia kulia lia tu.
Sheria mpya ni kwa ajili ya mikataba mipya tu,

Hii mikataba ya ACACIA haiguswi na mabadiliko ya sheria hii.
 
..Prof anatuchezea tu akili zetu.

..sisi ndiyo tunapaswa kuwashtaki acacia MIGA kwasababu tuna ushahidi uliokusanywa na wasomi wetu unaothibitisha kwamba wametuibia.

..negotiations zifanyike baada ya acacia kupatikana na hatia. baada ya hapo watatulipa na tutakuwa ktk nafasi nzuri ya ku-negotiate nao the way forward.

..Again, baada ya ripoti za Prof.Mruma na Prof.Osorro anayepaswa kuogopa miga ni acacia, siyo Tanzania.
Kakupa hadi mifano nini kilitokea kwa Ghana na Tz.kuwashitak acacia au kutaifisha mali zao sio sawa ka kwenda kuharibu shamba la mbowe.Angalia unapambana na watu gan.ndo maana kwa kuliona hilo prof mwenyewe anasisitiza busara zitumike ktk mazungumzo.na tayar jamaa walishakuja kutaka mazungumzo.Nyerere aliwafukuza kwenye mgod wa mwadui,nini kilifuata?
 
Kama umejua prof. anakuchezea akili, achana naye! Shughulika na hoja za watu wasiokuchezea akili!

Umejuaje kama hatuwezi kuwashitaki iwapo mazungumzo hayatafanikiwa?
...
Kweli huyo sio JokaKuu ninayemfahamu. Anaongea utafikiri hata container zilizozuiliwa zimeachiwa.
 
..Prof anatuchezea tu akili zetu.

..sisi ndiyo tunapaswa kuwashtaki acacia MIGA kwasababu tuna ushahidi uliokusanywa na wasomi wetu unaothibitisha kwamba wametuibia.

..negotiations zifanyike baada ya acacia kupatikana na hatia. baada ya hapo watatulipa na tutakuwa ktk nafasi nzuri ya ku-negotiate nao the way forward.

..Again, baada ya ripoti za Prof.Mruma na Prof.Osorro anayepaswa kuogopa miga ni acacia, siyo Tanzania.
Nadhani wengine wataelewa kwanini tunasema mfumo wetu si mzuri

Kwa miaka mingi tumepiga kelele, Rais ana madaraka makubwa na chanzo cha matatizo s

Ukimsikiliza Prof kuna mahali ametoa mfano wa Lucifer na kueleza kuwa kuna kamisheni halafu wawakilishi kutoka serikali akataja makatibu wakuu

Hiki ndicho ambacho rasimu ya Warioba ilikieleza kwa undani, kwamba, madaraka ya Rais yapunguzwe si kumuondolea nguvu bali kumpa nafasi ya kusimamia na si kuwa mtendaji

Kwa mantiki hiyo utaona matatizo ya madini yanachangiwa na mfumo wetu siyo watu waliosaini peke yao wala si Acacia au Wachimbaji wengine.

Mfumo wetu ulitoa madaraka makubwa, matatizo yanatua katika dawati la Serikali

Ni kwa mantiki hiyo tunmaambiwa fulani na fulani wasitajwe na magazeti kufungiwa
Maana yake ni kuwa kuzungumzia madini hakutapita bila kuwataja na ndio wahusika

Somo tunalopata mfumo wetu una matatizo na kama tungelikuwa tunafikiri sawa sawa, tusingefumua sheria ya madini peke yake.

Tulipaswa tufumue mfumo mzima kwa kuangalia katiba na sheria zinazotokana

Kuangalia madini peke yake ni kuziba kiraka kwenye suruali yenye matundu mengi na kujiridhisha kwavile zipu ipo sawa huko nyuma ataona anayekuja nyuma si mbele

Kwa upande mwingine tunaweza kutokubaliana na waziri kwa hoja na mantiki nami ni moja wao, lakini tukubaliane kuwa ana uwezo wa kujenga hoja.
 
Maelezo ya kwa nini hatushitakiwi yapo kwenye thread.

Nadhani umesoma heading tu na kutoa komenti kama ilivyo kwa baadhi ya Watanzania.

Katika nchi mojawapo yenye wananchi wavivu wa kusoma/kujisomea, Tanzania inaweza kuwa ndani ya kumi bora. Inashangaza mtu akiona andiko lefu anasoma heading na kuanza kutoa komenti/maoni ambapo mara nyingi utakuta ni nje ya mada au hoja zake zinakuwa zimeishapatiwa majibu kwenye thread.

Kinachoshangaza zaidi unakuta komenti wanazotoa ni nusu mstari au mstari mmoja tu.

Mtanzania ukimwaambia aongee bila kuandika, anaweza hata akamaliza siku nzima akiongea lakini maongezi yake mara nyingi ni pumba tupu!
bora umeona ujinga wa huyu bwana kilaza anaechangia akiwa kalala mkuu
 
Msemaji ukweli sitaki kuamini yale matumaini mliyowapa watu saa mnatuona majuha mnaanza kugeuza hoja ni kutokushitakiwa. Hoja ilikuwa ni kulipwa na wala sio hofu ya kushitakiwa. Mliiaminisha watu tutalipwa 108t, leo mnaanza kutuletea hadithi za kutoshitakiwa? Halafu nimejaribu kufuamfuatilia Kabudi, nimegundua hana jipya, kila mara akiongea anaishia kuongea historia na kiswangilish kisicho na tija lakini hana suluhisho la matatizo ya nchi.

Kwa ufupi huyo huyo Kabudi ni mwalimu wala sio mtu wa kumtegenea kwenye uchumi wetu. Pamoja na maelezo yake yote na kutumia vijimaneno vya kizungu hakuna mahali anapozungumzia hizo hela za malipo zaidi ya kuonyesha hatutashitakiwa. Kwani hao Acacia lengo lao ni kutushitaki? Wao iwapo wataendelea kuvuna hawana muda wa kutushitaki ila iwapo tutawazuia kuvuna wanaweza kutushitaki.

Nimegundua hata hiyo mnayosema sijui hawajasajiliwa Brela si lolote si chochote kwani mpaka sasa Acacia wapo nchini na wanaendelea na kazi zao. Hivi ingekuwa ni kampuni ya mtanzania na haswa mpinzani itamkwe haijasajiliwa leo ingekuwa bado inaendelea kufanya kazi? Tuliaminishwa baada ya wiki hao Barrick wanarudi kuja kujadili kurudisha chetu, mpaka hawajatokea, badala yake tunakimbizana na miswaada ya dharura kumbe hata yenyewe ni ya wawekezaji wapya na wala sio hawa mnaowata wezi. Duuuu aibu gani hii, na kwa kauli hizi sintoshangaa yale macontainer 277 ya makinikia tukalipishwa gharama za kuyazuia.
Kwani hizi sheria zinatungwa kwa ajili ya swala la makinikia?hivi swala mchanga mfano kutodeclare kias sahh na aina kilichomo hakiwez kuwa solved na sheria zilizopo?Ingekua Ttz ni sheria ktk hili makinikia Wasingekuja kutaka mazungumzo.na hata prof asingesema hatuwez shitakiwa.Tatizo watanzania mmeshindwa kujua nini dhima ya huu mswada wa dharula na wengi mnajua eti unaenda kufuta Ile 4% na unaenda kusimamia kudai hizo tr 108.Hata kwa hizo sheria zilizopo tu bado tuko ktk nafas nzur ktk kudai haki yetu maana sio hizo sheria zetu mbovu au mikataba ya 4% au MIGA zinaruhusu kudanganya.
 
Huku kumejaa wazandiki nawanafiki.itakuaje watu waseme kama serikali inajiamin bas wawafukuze nakutaifisha migod,,,halafu hapohapo serikal inapochukua hatua waseme tutashindwa kama samaki wamagufuli,,,kutaifisha mbaya,kuzungumza nao mbaya manataka nn sasa...ndomana wakat ule urus akipigana nawaas wachechnia marekan anasema anavunja haki zabinadam huku yy marekan anawapiga wataliban tena bila mjadala.
 
Back
Top Bottom