Prof. Kabudi nachelea kukuamini kama kweli mlishinda kesi Afrika ya Kusini, tusipende kuona uongo kuwa sehemu kubwa ya siasa za Tanzania

Kitu ambacho nimejifunza kwa hawa wasaidizi wa mh rais, ni kwamba wamekaa na mh na wakamuelewa kitu anachopenda kukisikia na ndicho wanachompa regardless of its impact, na mh rais akiendelea namna hii atapotoshwa sana kwenye mambo ya msingi na mwisho ataiweka nchi hii mahali pabaya sana kiasi kwamba rais ajaye atakuwa na kibarua kigumu sana, ukitaka kuelewa mentality ya mh rais wetu tizama conversation yake na yule engineer juzi kwenye issue ya public buildings kuwa na lift, alipozidiwa kwa hoja akaamuru kwa mkuu wa jkt kuwa akiona jamaa anawachelewesha kwa specifications zake awekwe ndani na kazi iendelee, hivyo ndio namna mkuu wetu alivyo na wasaidizi wake wameshamuelewa na wanampa ushauri anaopenda kuusikia, lazima mkuu aruhusu na upande asiopenda kuusikia.
Nguvu nyingi akili kidogo
 
umesema mwenyewe kama kesi imefunguliwa upande mmoja Wa jumuiya ya madola inaweza kusikilizwa nchi nyingine ya jumuiya hiyo kama aliyefungua kesi kakata rufaa. sasa hapo tatizo liko wapi? kwani kesi ikiamriwa na nchi moja ya jumuiya ya madola, haiwezi kufunguliwa kwa nchi nyingine tena?

Kwani afrika kusini ,serikali haikushinda kweli? kama ni haki kukata rufaa nchi nyingine yoyote mwanachama Wa jumuiya, uongo Wa Kabudi unakujaje? Hivi kwa mawazo yako Canada itampatia tu hiyo ndege?

Naamini katika uwezo Wa Kabudi na zaidi ya yote Nina imani na nia na dhumuni la Mhe.Rais ,ninaamini Tanzania tuna wanasheria wazalendo na waaminifu wenye uwezo Wa kusimamia kesi yoyote ya kizandiki, kilaghai na kizushi inayofunguliwa mahakama yoyote duniani kwa maslahi mapama ya taifa letu
VUVUZELA. Kilangila.
 
G Sam, Aidha Tundu Lissu alishatushauri kama kweli tunataka kuwa kama tunavyotaka basi tujiondoe kwenye mikataba yote ya kimataifa ikiwemo jumuiya ya madola. Otherwise tutaendelea kunyolewa. Na naamini tukijiondoa basi tutaumia zaidi.

Wew janaman ni fala kweli tunduliso tundulisu sasa kwa akili yako ukishaajiondoa nani. Huyo atakuja kuwekeza kwako sehem isiohakikisha wekezaji na mitaji ya muwekezaji kwa hiyo Tudu akisema na wew kama kasuku unashikilia bango
 
Haya mambo ya kisheria hayataki ubabe.

Aijui kama tulimaliza kulipa deni la meli ya samaki ambalo tumeamriwa tulipe samaki wote, meli yenyewe na hasara iliyopatikana wakati wote wa kesi pamoja na faida ambayo ingepatikana.

Steyn na wanasheria wake siyo wajinga. Wanaelewa kuwa hawana cha kupoteza.

Naanza kuhisi kuwa ingekuwa tumeshinda tusingesitisha ndege zetu kwenda Afrika Kusini.

Natamani iwe tumeshinda kweli, maana hizi gharama tunazoingia kwenye hii kesi si ndogo na sifahamu tuna nini cha kushika tena cha Steyn ikiwa ameshindwa kesi na atatakiwa atulipe gharama zetu. Nahisi hana cha kupoteza ndiyo maana kashikilia bango.

Kikwete ndo aliaachia Wizi wa samaki yeye magufuli alifanya kazi yake , makanjanja wakipewa mlungula wakachomoa baadhi ya Nyaraka
 
Hakuna cha maslahi mapana ya chochote hapa

Hapa ni kesi then haki itendeke!

Hii uzalendo talk mnataka mtende dhuluma muachwe kisa sababu ni nchi?

SA akina Kabudi waliponea sababu ya mkulima ku-file kimakosa majalada yake!

Alikosea kujaza fomu za mahakama!

Yaani waliponea sababu ya technicality ya kujaza makabrasha ya kufungua kesi!

Sasa hivi kajaza proper na kaenda nchi yenye misingi ya kweli sio some stupid corrupt ANC government huku bara la giza!

Hapo kesi izungumzwe mahakama itoe haki!

Eti mchukue mali za mtu then leo mje na hoja za kimatako za “uzalendo”?

Really?

Lipeni deni la mtu,maana mmezoea kurusha even makontrakta nchini kama mnavyotaka,ulaya hakuna usenge!

Mjifunze kuishi kistaarabu hapa duniani

Ndo kwanza nasikia kutoka kwako ila kilichomesemwa na mkulima na wanasheria ni tofauti au unazungumzia kesi tofauti na ile ya airbus
 
Naungana na wewe kumwomba radhi balozi wa Canada kuitwa na Waziri Kabudi. Lakini Nakuhakikishia Nchi ya Canada haipo nyuma ya madai haya. Nasikitishwa Sana na kitendo Cha Waziri kuonyesha udhaifu kwenye tasnia ya sheria Kwa kiasi hiki.Canada watapata maslahi gani?Canada wanatafuta wateja wa kununua Ndege usiku na mchana.Naomba lawama ziende Kwa mkulima

Kwa nini washike ndege huku kukiwa hawajakabidhi kwa mhusika hayo mamlaka wanayatoa wapi
 
Kikwete ndo aliaachia Wizi wa samaki yeye magufuli alifanya kazi yake , makanjanja wakipewa mlungula wakachomoa baadhi ya Nyaraka
Na mahakama ikaona hao walioshikwa hawakuwa wezi? Au mahakama iliamuru wezi walipwe sadaka tu?
 
Msilete ngonjera hapa na kumdanganya Rais. Lipeni deni la Mkulima. Unaleta lawana kwa wasio husika
Nilikuwa sijawaza kuwa na roho mbaya zidi ya watanzania wanao wata kutuhujumu, kwa haya ya leo nimetamani Rais Wetu kuwa dekteta kweli. Hiyo ni huruma yake Rais Magufuli ndiyo inayo msuta.

Naomba hao wahaini watakapo julikana ni kuwafanyika kimoja tu, Process fupi! Kuwakamata na kuwaua mara moja bila kupoteza mda wa kuwafubgulia mashtaka.

Nina uhakika yule mzee mkulima hana lengo la kuihujumu Tanzania, wata kuwa hao hao wana sheria wetu na baadhi ya watumishi wa serikali ndiyo wanao kazania kuturudisha nyuma kama kisasi cha kushindwa kutuibia kama walivyo zoea kama zamani.

Rais Magufuli hauko salama wewe. Kwa hali hii utakuwa umezungukwa na watu ambao mda wowote wakitaka wanaweza waka kudhuru. Una walea wewe mwenyewe!

Huruma yako ya kutaka kupendwa na kila mtanzania ndiyo inayo kusuta. Baadhi yetu hawatakupenda hata mara moja. Na ndiyo hao kama waziri Proff. Kabudi alivyo sema; "hawalali wana kesha kutafuta njia za kuturudisha nyuma". Nina uhakika watu hawa wakishindwa kabisa. Wanaweza wakabaki na Option moja tu, nayo ni kusaka uhai wako!!

Acheni huruma za kitanzania hazita saidia kitu. Hao watu ni kuwamaliza tu punde mnapo wabaini. Hao sio binadam wenzetu ni wanyama. Na kwa wanyama lazima tutumie "methodes of the jungle" kuwadhibiti!

Mimi sioni shida watu kama akina Lissu, Mange Kimabi na wengineo ambao wako nje kuwateketeza. Wasifikiri kwamba wana ulinzi mzuri, mbona ni kitu rahisi sana kuwadhuru!
Angekuwa Rais Putin hapo mbona wange kuwa wamesha ondoka zamani sana.

Zitto Kabwe na watu kama akina Maria Sarungi na wengineo mara kwa mara wanapata mialiko ya kwenda kukutana na viongozi wa vyama Ujerumani na baadhi ya nchi za Ulaya, wanaenda kufanya nini? Na kama nani wao wapewe mialiko hiyo?

Muwe mnamsikiliza sana kauli zake. "Eti tusilaumiane". Mzalendo wa kweli anayeipenda nchi yake anasema kauli kama hizo?

Rais Magufuli nakuomba watumishi wote wa serikali na wanachama wa vyama ambao wanashirikiana na NGOs kuwatupia macho ili kubaini nini kinaendelea. Tuna maadui wengi sana miongoni mwetu.
 
Diplomasia kwa upande wa Jiwe kama Rais wa nchi kubwa hii, ni almost zero, pia Record ya sifa zake kama mkuu wa nchi ktk nyanja za kimataifa siyo nzuri sana kivile.

kwanza ana umimi unao tia kinyaa!, hatembelei wenzake wakamjua, anajijali sana yeye kwa visingizio vya kufuja pesa ya nchi,

wakati wanajua yeye huyu anapiga cha juu! anajifanya nchi yake tajiri, wakt hayo mapesa anauzia Mabeberu bidhaa! hataki kutembeza kopo! wakati ukweli ni kwamba analishwa/analindwa na silaha zao, Ndege zao, mwanzo mwisho!

Sasa yamemkuta hata Waziri mkuu wa Canada(anayekejeliwa Beberu) hajampigia simu japo kuongea naye tu kuhusu jambo hili,

Hivi ikitokea amaepinduliwa, km yule jamaa yetu Kuku Mbengu, sijui nchi gani itamkubali huyu msukusu, atafia humu,

Milton Obote yeye hakupiga hata simu alikuja tu km kwake vile, wakacheka sana na Nyerere! akamwambia wee subiri/tulia, ataondoka tu yule dogo, na kweli!

Rais gani tena bila aibu unakwepa UNGA eti huna nauli!

Naamini ikitokea akatembea tembea mitaa ya Toronto mchana kweupee! ataonekana km vile Normal Black nigger from de Bush! (kuliko hata millionaire MO!)

hakuna atakayestuka km hivi ''Oooh! whoa! Mr Presdaa! how are you meen?''. haya yalifanyika kwa kina Jakaya, Nyerere tu baasi!
 
Wasingeweza kufikia hukumu pasipo Tanzania kuhusishwa. Unless tuambiwe walipuuza tena. Ninachojua mkulima katumia ile hukumu ya mwanzo kukamata ndege. Kumbuka kuwa serikali walienda A. Kusini na excuse kuwa ndege ni ya Rais. Hawakwenda kupambana kwenye kubatilisha hukumu ya mwanzo.

Ilikuwa Hoja Ya Kijinga Sana Kusema Ile Ndege Inatumiwa Na Rais na Watanzania Tukaa Kimyaaa, Haya na Hiyo Bombardier Inatumiwa na Nani Sasa? Ili turudishiwe?
 
Kinacho Nisikitisha Sanaaa, Ni Kwamba Waandishi Wetu wa Habari Haya maswalii hawawezi kuhojii Serikali Yetu! Watakacho ambiwaa wao wanakireport kama kilivyoo bila hata kuhojiii! Ndio maana Niliacha Kusoma Magazeti, Radio kusikiliza, Sijui taarifa za Habari huo Ujinga Nilisha Acha baada Ya Kujiunga Jamii Forum!

Wanashindwa Kuhojii kwelii?, Hata Jamii Forum Huwa Hawatembelei wakapata maswali ya kuwauliza hawa Viongozi?

Jamii Forum Idumu Milele! Wanajamii Forum Tunafanyaje Maxmelo Awe Rais?
 
.... hiyo mikataba ya kimataifa itaendelea kutubana hata kama tutaacha kutengenezea ndege zetu Canada, tukihamia nchi nyingine kama nayo ili_sign hiyo mikataba bado tutaendelea kubanwa tu, issue kama tunajiamini huyo mkulima hana anachotudai, basi tumuache aendelee kubadilisha tu hizo mahakama aende kila nchi, kwani tutampiga tu!, but kama ni vinginevyo, bora kuongea nae tu, ili hizi vurugu za ndege kukamatwa mara huku mara kule ziishe.
Waende Brazil kama hata huko hazijakamatwa
 
Back
Top Bottom