Subiri Jumapili ipite,Leo ndio ubatizo wa Moto hufanyika.Majalala sijui kabobea eneo lipi la sheria.
Lakini tusimlaumu sana. Mawaziri lazima waseme kila ambacho Jiwe anataka kusikia.
Hivi yule Engineer wa lift bado yupo kazini?
Subiri Jumapili ipite,Leo ndio ubatizo wa Moto hufanyika.Majalala sijui kabobea eneo lipi la sheria.
Lakini tusimlaumu sana. Mawaziri lazima waseme kila ambacho Jiwe anataka kusikia.
Hivi yule Engineer wa lift bado yupo kazini?
Mkuu swala la kujiuliza n kuwa huyu mkulima anapata wapi nguvu za za kwenda mahakamani na kusikilizwa kama kesi anashindwa.G Sam,
Ndege iliposhikiliwa South Africa mlituaminisha kuwa tunaenda kushindwa kwenye Kesi maana mahakama na majaji wa South Africa si
Kama mahakama na majaji
Wa hapa kwetu nyumbani.Yale yote yaliyo tokea katika kesi hiyo sitaki kuyarudia kila mtu ni shahid.sasa mnakuja na hoja na Jumuiya ya Madola utadhani South Africa isn't a member wa Commonwealth.subiri mkulima atapigwa tena kwa nock out na atakuwa mvuvi na sijui mtasemaje? au mtamshauri akafungue kesi tena UN
Bado unapotosha. Hao wanasheria walichemka kupeleka kesi katika nchi ambayo kisheria huwezi kupeleka madai ya malipo.Sio kweli serekali ilienda south afrika kukomboa ndege na sio kushinda kesi
Ndo maana walisema ndege inatumiwa na rais
Toka lini mzungu akatudai sisi kwa kumpa fidia kwa ardhi yetu? Unajua hiyo ardhi aliipataje? Unajua jinsi gani alipata mamlaka ya kuitumia hiyo ardhi? Aliinunua hiyo ardhi kutoka kwa Mwalim Nyerere?
Naomba jiulize wewe mwenyewe kama kuna mwafrika amesha ishtaki serikali yoyote ile ya nchi ya Ulaya kwa kutuuza sisi Amerika kama gunia la mihogo? Ukilitambua hilo njoo tena na uniulize tena kama huyo mkulima anatudai au hatudai.
Watu kama nyie sielewi kwa nini mnang'ang'ania kuishi Tanzania kama hamwipendi hii nchi. Kama una shindwa kutoka Tanzania na kuchukua uraia wa nchi nyingine niambie nikusaidie. Lakini waachie watanzania nchi yao. Wewe nenda kaishi huko unako fikiria niger kama wewe watakuthamini.
Usijitoe ufahamu, utahoji hukumu ya kesi wakati hata bei ya ndege hujui!!! Wewe mpaka sasa umeshaona lisiti ya manunuzi ya hizi ndege????Ujinga wa watanzania ndio mtaji wa wanasiasa waliposema tumeshinda kesi hakuna mtu hata mmoja aliyehoji hati ya hukumu hii inaonyesha jins gani tumegeuzwa nchi ya wapumbavu.
KARLO MWILAPWA,
Mkuu, kilichofanya ndege kuzuiwa ni hukumu.
umesema mwenyewe kama kesi imefunguliwa upande mmoja Wa jumuiya ya madola inaweza kusikilizwa nchi nyingine ya jumuiya hiyo kama aliyefungua kesi kakata rufaa. sasa hapo tatizo liko wapi? kwani kesi ikiamriwa na nchi moja ya jumuiya ya madola, haiwezi kufunguliwa kwa nchi nyingine tena?
Kwani afrika kusini ,serikali haikushinda kweli? kama ni haki kukata rufaa nchi nyingine yoyote mwanachama Wa jumuiya, uongo Wa Kabudi unakujaje? Hivi kwa mawazo yako Canada itampatia tu hiyo ndege?
Naamini katika uwezo Wa Kabudi na zaidi ya yote Nina imani na nia na dhumuni la Mhe.Rais ,ninaamini Tanzania tuna wanasheria wazalendo na waaminifu wenye uwezo Wa kusimamia kesi yoyote ya kizandiki, kilaghai na kizushi inayofunguliwa mahakama yoyote duniani kwa maslahi mapama ya taifa letu
Akitoka kanisani huanza kubatiza 😀😀😀Subiri Jumapili ipite,Leo ndio ubatizo wa Moto hufanyika.
Kabudi alikua rafiki wa mahakama Amicus Curiae kwenye kesi ya mgombea binafsi na akaishauri vibaya mahakama bila kusahau ni wakili wa viti maalumi maana alikua akifeli mitihani ya Bar...KARLO MWILAPWA, Kabudi nasikia hana historia yoyote ya kushinda kesi
Probably, She is 11 years old.How old are you??
Toka lini mzungu akatudai sisi kwa kumpa fidia kwa ardhi yetu? Unajua hiyo ardhi aliipataje? Unajua jinsi gani alipata mamlaka ya kuitumia hiyo ardhi? Aliinunua hiyo ardhi kutoka kwa Mwalim Nyerere?
Naomba jiulize wewe mwenyewe kama kuna mwafrika amesha ishtaki serikali yoyote ile ya nchi ya Ulaya kwa kutuuza sisi Amerika kama gunia la mihogo? Ukilitambua hilo njoo tena na uniulize tena kama huyo mkulima anatudai au hatudai.
Watu kama nyie sielewi kwa nini mnang'ang'ania kuishi Tanzania kama hamwipendi hii nchi. Kama una shindwa kutoka Tanzania na kuchukua uraia wa nchi nyingine niambie nikusaidie. Lakini waachie watanzania nchi yao. Wewe nenda kaishi huko unako fikiria niger kama wewe watakuthamini.
"Kila kitu kilikuwa wazi" kwa nani?
WaTanzania hawawezi kusikilza habari za Mahakama ya Afrika Kusini, wakaacha kuamini waliyoambiwa na serikali yao yenyewe, hapa hapa nyumbani; kwamba "walishinda Kesi" na ndege ikaachiwa na kurudi nyumbani.
Hiyo ndio hoja hapa na sio "kila kitu kuwa wazi."
Povu jingi ila hakuna namna tulipe deni! Wakulima wasipangiwe chakufanya!Nilikuwa sijawaza kuwa na roho mbaya zidi ya watanzania wanao wata kutuhujumu, kwa haya ya leo nimetamani Rais Wetu kuwa dekteta kweli. Hiyo ni huruma yake Rais Magufuli ndiyo inayo msuta.
Naomba hao wahaini watakapo julikana ni kuwafanyika kimoja tu, Process fupi! Kuwakamata na kuwaua mara moja bila kupoteza mda wa kuwafubgulia mashtaka.
Nina uhakika yule mzee mkulima hana lengo la kuihujumu Tanzania, wata kuwa hao hao wana sheria wetu na baadhi ya watumishi wa serikali ndiyo wanao kazania kuturudisha nyuma kama kisasi cha kushindwa kutuibia kama walivyo zoea kama zamani.
Rais Magufuli hauko salama wewe. Kwa hali hii utakuwa umezungukwa na watu ambao mda wowote wakitaka wanaweza waka kudhuru. Una walea wewe mwenyewe!
Huruma yako ya kutaka kupendwa na kila mtanzania ndiyo inayo kusuta. Baadhi yetu hawatakupenda hata mara moja. Na ndiyo hao kama waziri Proff. Kabudi alivyo sema; "hawalali wana kesha kutafuta njia za kuturudisha nyuma". Nina uhakika watu hawa wakishindwa kabisa. Wanaweza wakabaki na Option moja tu, nayo ni kusaka uhai wako!!
Acheni huruma za kitanzania hazita saidia kitu. Hao watu ni kuwamaliza tu punde mnapo wabaini. Hao sio binadam wenzetu ni wanyama. Na kwa wanyama lazima tutumie "methodes of the jungle" kuwadhibiti!
Mimi sioni shida watu kama akina Lissu, Mange Kimabi na wengineo ambao wako nje kuwateketeza. Wasifikiri kwamba wana ulinzi mzuri, mbona ni kitu rahisi sana kuwadhuru!
Angekuwa Rais Putin hapo mbona wange kuwa wamesha ondoka zamani sana.
Zitto Kabwe na watu kama akina Maria Sarungi na wengineo mara kwa mara wanapata mialiko ya kwenda kukutana na viongozi wa vyama Ujerumani na baadhi ya nchi za Ulaya, wanaenda kufanya nini? Na kama nani wao wapewe mialiko hiyo?
Muwe mnamsikiliza sana kauli zake. "Eti tusilaumiane". Mzalendo wa kweli anayeipenda nchi yake anasema kauli kama hizo?
Rais Magufuli nakuomba watumishi wote wa serikali na wanachama wa vyama ambao wanashirikiana na NGOs kuwatupia macho ili kubaini nini kinaendelea. Tuna maadui wengi sana miongoni mwetu.
Boya wewe . Huna akili .
Haki ni haki na in anatakiwa ifuatwe . Huyo mzungu alikuwa na mali zake nyingi vikiwemo vifaa vikubwa vya kilimo hadi ndege alikuwa nazo zikataifishwa na serikali ya mabazazi ccm .
So tulizeni hizo papuchi zenu dawa iwaingie pumbafu nyie
Matango pori yapi nawakati mahakama za Tanzania ziliamuru mkulima alipwe usijione unajua kila kituBado unapotosha. Hao wanasheria walichemka kupeleka kesi katika nchi ambayo kisheria huwezi kupeleka madai ya malipo.
Zipo nchi ambazo ukipeleka kesi ya madai ya malipo unasikilizwa na zipo ambazo ukipeleka kesi hausikilizwi.
Nchi zenye kusikiliza madai mfano ni Canada.
Nchi ambazo hawasikilizi mfano ni Marekani na South Africa.
Usisikilize sana matango pori ya wanasiasa.
Mbona hajalipwa mpaka sasa? Mbona kashindwa kesi mara mbili huko South Africa?.Matango pori yapi nawakati mahakama za Tanzania ziliamuru mkulima alipwe usijione unajua kila kitu