Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,177
- 7,699
Hiki kivuli cha uzalendo achana nacho kbs, hii ni njia ya kupigia tu. Mzalendo wa kweli ni Hayati Julius Kambarage Nyerere, OVER!!Kabudi na bashiru watu wanawachukia Sana, na sijawahi kuona wamefanya kitu kibaya au kuongea kitu kibaya kinachowakandamiza wananchi au hata kufanya Mambo ya tumbua tumbu, mi nawaonaga wamekaa kizalendo kuliko so kina jafo, mwigulu etc