Uda
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 811
- 624
Buhigwe ni nani?Kilosa, Buhigwe na Kasulu ni majimbo maalum mwaka huu
Buhigwe ni nani?Kilosa, Buhigwe na Kasulu ni majimbo maalum mwaka huu
Buhigwe ni nani?
Profesa Majalalani..Ziara ya Rais ya Kilosa iligeuka kama kampeni ya ubunge Kilosa kumnadi Prof. Kabudi. Wakati mawaziri wenzake wakieleza mafanikio ya wizara zao katika kipindi cha miaka 5 inayomalizika haikuwa hivyo kwa waziri Kabudi
Prof Kabudi alijikita kutaja majina ya vijiji vya Kilosa tena kwà kukosea matamshi, Kabudi anatafuta jimbo hilo hata Rais anaonekana kumsaidia pale alipompatia kazi ya kushughulikia malalamiko ya wananchi yaliyo nje ya wizara yake. Prof Kabudi hajui mipaka ya jimbo lake, hana nyumba jimboni hapo, hana ndugu anayemjua hapo labda aanze kuwatafuta, hata akiambiwa ataje jina la jirani yake Kilosa wala balozi hawajui.
Prof. Kabudi sidhani hata watoto wake kwenye wasifu wao kama wanajitambulisha kama wenyeji wa Kilosa. Itoshe tu kusema afadhari kuchagua mwarabu wa Kilosa kuliko Prof. Kabudi. Huyu alidai aliokotwa jalalani na Rais itoshe aendelee kuwa mbunge wa jimbo la Jalalani.
Mbona umetaja mtu na jina tofauti na niliemtaja?una ushahidi wowote kuwa mke wa mtu aliyetajwa ni joketi?
Hiyo inaitwa kukonecti dots. Acha kuchafua watu, wanaokupa likes hapa hawatakuja hata kukudhamini mahakamani.Mbona umetaja mtu na jina tofauti na niliemtaja?
Mbona nipo jera tu tangu 2015?Hiyo inaitwa kukonecti dots. Acha kuchafua watu, wanaokupa likes hapa hawatakuja hata kukudhamini mahakamani.
Sio JERA ni Jela. Kama unadanganya basi nakuombea uingie kabla mwaka huu haujaisha ili ujue kutofautisha maisha ya uraiani unayoyaita JERA na maisha halisi ya Jela.Mbona nipo jera tu tangu 2015?
Mkulo ni mzaliwa na mkulia huko. Kabudi, kiunganishi chake ni cheti cha kuzaliwa kilitolewa huko (kazaliwa), lakini hajawahi kukaa huko hata kwa safari ya kikazi.Kwani Mustafa Mikulo alipogombea jimbo la Kilosa alikuwa na nyumba Kilosa...?
Hawakuhamia huko> baba yake alikuwa anafanya kazi huko, lakini tangu ahamishwe Kabudi hajawahi fika huko!Kabudi si mgogo kwao dodoma?au walihamia kilosa...?
Prof. Kabudi sidhani hata watoto wake kwenye wasifu wao kama wanajitambulisha kama wenyeji wa Kilosa. Itoshe tu kusema afadhari kuchagua mwarabu wa Kilosa kuliko Prof. Kabudi. Huyu alidai aliokotwa jalalani na Rais itoshe aendelee kuwa mbunge wa jimbo laZiara ya Rais ya Kilosa iligeuka kama kampeni ya ubunge Kilosa kumnadi Prof. Kabudi. Wakati mawaziri wenzake wakieleza mafanikio ya wizara zao katika kipindi cha miaka 5 inayomalizika haikuwa hivyo kwa waziri Kabudi
Prof Kabudi alijikita kutaja majina ya vijiji vya Kilosa tena kwà kukosea matamshi, Kabudi anatafuta jimbo hilo hata Rais anaonekana kumsaidia pale alipompatia kazi ya kushughulikia malalamiko ya wananchi yaliyo nje ya wizara yake. Prof Kabudi hajui mipaka ya jimbo lake, hana nyumba jimboni hapo, hana ndugu anayemjua hapo labda aanze kuwatafuta, hata akiambiwa ataje jina la jirani yake Kilosa wala balozi hawajui.
Prof. Kabudi sidhani hata watoto wake kwenye wasifu wao kama wanajitambulisha kama wenyeji wa Kilosa. Itoshe tu kusema afadhari kuchagua mwarabu wa Kilosa kuliko Prof. Kabudi. Huyu alidai aliokotwa jalalani na Rais itoshe aendelee kuwa mbunge wa jimbo la Jalalani.
MmhZiara ya Rais ya Kilosa iligeuka kama kampeni ya ubunge Kilosa kumnadi Prof. Kabudi. Wakati mawaziri wenzake wakieleza mafanikio ya wizara zao katika kipindi cha miaka 5 inayomalizika haikuwa hivyo kwa waziri Kabudi
Prof Kabudi alijikita kutaja majina ya vijiji vya Kilosa tena kwà kukosea matamshi, Kabudi anatafuta jimbo hilo hata Rais anaonekana kumsaidia pale alipompatia kazi ya kushughulikia malalamiko ya wananchi yaliyo nje ya wizara yake. Prof Kabudi hajui mipaka ya jimbo lake, hana nyumba jimboni hapo, hana ndugu anayemjua hapo labda aanze kuwatafuta, hata akiambiwa ataje jina la jirani yake Kilosa wala balozi hawajui.
Prof. Kabudi sidhani hata watoto wake kwenye wasifu wao kama wanajitambulisha kama wenyeji wa Kilosa. Itoshe tu kusema afadhari kuchagua mwarabu wa Kilosa kuliko Prof. Kabudi. Huyu alidai aliokotwa jalalani na Rais itoshe aendelee kuwa mbunge wa jimbo la Jalalani.
AiseeAchana na Tume huru wewe
Mwaka huu haponi mtu tutashinda kwa mbinu
Mwaka huu tutatumia kitu kinaitwa"SHIKWAMBI"
Haponi mtu bungeni labda Zitto na Mbatia tu watarudi
Tunambinu nyingi mwaka huu tunatumia Shikwambi majimbo ya upinzani
Tutashinda kwa mbinu
Tutashinda kwa mbinu iwe jua au mvua