Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu wote watatu hawajui kujieleza mbele ya wananchi wasio na elimu(Majority),wakianza kuleta takwimu zao zile za ki PH.d kwny mikutano ya hadhara wananzengo watawapa majibu yao.Mpango buhigwe
Ndalichako kasulu
Kilosa kabudi
Ziara ya Rais ya Kilosa iligeuka kama kampeni ya ubunge Kilosa kumnadi Prof. Kabudi. Wakati mawaziri wenzake wakieleza mafanikio ya wizara zao katika kipindi cha miaka 5 inayomalizika haikuwa hivyo kwa waziri Kabudi
Prof Kabudi alijikita kutaja majina ya vijiji vya Kilosa tena kwà kukosea matamshi, Kabudi anatafuta jimbo hilo hata Rais anaonekana kumsaidia pale alipompatia kazi ya kushughulikia malalamiko ya wananchi yaliyo nje ya wizara yake. Prof Kabudi hajui mipaka ya jimbo lake, hana nyumba jimboni hapo, hana ndugu anayemjua hapo labda aanze kuwatafuta, hata akiambiwa ataje jina la jirani yake Kilosa wala balozi hawajui.
Prof. Kabudi sidhani hata watoto wake kwenye wasifu wao kama wanajitambulisha kama wenyeji wa Kilosa. Itoshe tu kusema afadhari kuchagua mwarabu wa Kilosa kuliko Prof. Kabudi. Huyu alidai aliokotwa jalalani na Rais itoshe aendelee kuwa mbunge wa jimbo la Jalalani.
Kama Kabudi hafai kagombee wewe wa Kilosa. Watu wengine mnakuwaga na roho ya kutu kuliko hata Shetani.
Kwani yule Mwarabu wa Kilosa yeye ni Msagara?Kabudi si mgogo kwao dodoma?au walihamia kilosa...?
Sawa tutamtembeza na kumfanya aijue kilosa yoteUkija kuzinduka katika huo usingizi utamkuta ni mbunge
Kwahiyo Joker Tee ni mke wa mtu?Tatizo vijana mnapewa uDAS mnaenda kuharibu ndoa za watu.
Kwani Palamagamba ni mgogo, mluguru au mkaguru ?Ziara ya Rais ya Kilosa iligeuka kama kampeni ya ubunge Kilosa kumnadi Prof. Kabudi. Wakati mawaziri wenzake wakieleza mafanikio ya wizara zao katika kipindi cha miaka 5 inayomalizika haikuwa hivyo kwa waziri Kabudi
Prof Kabudi alijikita kutaja majina ya vijiji vya Kilosa tena kwà kukosea matamshi, Kabudi anatafuta jimbo hilo hata Rais anaonekana kumsaidia pale alipompatia kazi ya kushughulikia malalamiko ya wananchi yaliyo nje ya wizara yake. Prof Kabudi hajui mipaka ya jimbo lake, hana nyumba jimboni hapo, hana ndugu anayemjua hapo labda aanze kuwatafuta, hata akiambiwa ataje jina la jirani yake Kilosa wala balozi hawajui.
Prof. Kabudi sidhani hata watoto wake kwenye wasifu wao kama wanajitambulisha kama wenyeji wa Kilosa. Itoshe tu kusema afadhari kuchagua mwarabu wa Kilosa kuliko Prof. Kabudi. Huyu alidai aliokotwa jalalani na Rais itoshe aendelee kuwa mbunge wa jimbo la Jalalani.
Mwenzao Tulia ame invest muda sana ili kutambulika na wana Mbeya, japo sio guarantee atashinda.Halafu wote watatu hawajui kujieleza mbele ya wananchi wasio na elimu(Majority),wakianza kuleta takwimu zao zile za ki PH.d kwny mikutano ya hadhara wananzengo watawapa majibu yao.
Jimbo litaenda upinzani wewe ndio unayetangaza??Mwenzao Tulia ame invest muda sana ili kutambulika na wana mbaya, ata kama sio guarantee atashinda.
Kabudi kushinda tu kura ya maoni ndani ya itakuwa shida hana ushawishi Kilosa wananchi wenyewe wameshangazwa kama ni wa kwao, alitumia nguvu kweli kujifanya mwenyeji.
CCM ata wakikata wamuweke yeye kwa lazima kama mgombea chances hilo jimbo litaenda upinzani.
Aitokuwa mara ya kwanza CCM wanapolazimisha kutoa popular local candidates na kulazimisha mambo.Jimbo litaenda upinzani wewe ndio unayetangaza??
una ushahidi wowote kuwa mke wa mtu aliyetajwa ni joketi?Kwahiyo Joker Tee ni mke wa mtu?
Hakuna Kuangalia Mtu Usoni!!🤨Ahahhah
Magufuli noma sana
Mnaupiga vita ukabila na ukanda huku mkiuendekeza. Wenje alikuwa na udugu gani wakati anagombea hapa Nyamagana?Ziara ya Rais ya Kilosa iligeuka kama kampeni ya ubunge Kilosa kumnadi Prof. Kabudi. Wakati mawaziri wenzake wakieleza mafanikio ya wizara zao katika kipindi cha miaka 5 inayomalizika haikuwa hivyo kwa waziri Kabudi
Prof Kabudi alijikita kutaja majina ya vijiji vya Kilosa tena kwà kukosea matamshi, Kabudi anatafuta jimbo hilo hata Rais anaonekana kumsaidia pale alipompatia kazi ya kushughulikia malalamiko ya wananchi yaliyo nje ya wizara yake. Prof Kabudi hajui mipaka ya jimbo lake, hana nyumba jimboni hapo, hana ndugu anayemjua hapo labda aanze kuwatafuta, hata akiambiwa ataje jina la jirani yake Kilosa wala balozi hawajui.
Prof. Kabudi sidhani hata watoto wake kwenye wasifu wao kama wanajitambulisha kama wenyeji wa Kilosa. Itoshe tu kusema afadhari kuchagua mwarabu wa Kilosa kuliko Prof. Kabudi. Huyu alidai aliokotwa jalalani na Rais itoshe aendelee kuwa mbunge wa jimbo la Jalalani.