Mbona unazunguka.sema mtaiba kura kwa kutumia NEC, MADED na POLICCM.Achana na Tume huru wewe
Mwaka huu haponi mtu tutashinda kwa mbinu
Mwaka huu tutatumia kitu kinaitwa"SHIKWAMBI"
Haponi mtu bungeni labda Zitto na Mbatia tu watarudi
Tunambinu nyingi mwaka huu tunatumia Shikwambi majimbo ya upinzani
Tutashinda kwa mbinu
Tutashinda kwa mbinu iwe jua au mvua