Kuna nidhamu za Aina tatu.Kabudi aliambiwaga na Magu wewe ni mkubwa kwangu lkn ni mpumbavuuuuuuu,akainuka kwny kiti chake akasujudu kwa heshima kabisa akisema asante sana.
Kuna vitabu kama vitatu hivi vya JPM viko sokoni tafuta madini yaliyomo hutajuta maishani kukisoma na urithi kwa vizazi vijavyo.Ni haki na wajibu kwa Prof Kabudi kumuandikia Hayati Magufuli kitabu bila haya wala woga.
Akishindwa basi Dr Bashiru au Polepole wafanye
Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
Huu ni uongo mtakatifu. Prof Mbarawa ndio aliambiwa ni Mpumbavu na leo kapewa wizara ile ile kipenzi na moyo wa marehemu ulipokuwaKabudi aliambiwaga na Magu wewe ni mkubwa kwangu lkn ni mpumbavuuuuuuu,akainuka kwny kiti chake akasujudu kwa heshima kabisa akisema asante sana.
Peleka kichaa huko, Kabudi alitukanwa wkt wa kipindi Cha karibia na kufikia makubaliano ya mambo ya makinia.Huu ni uongo mtakatifu. Prof Mbarawa ndio aliambiwa ni Mpumbavu na leo kapewa wizara ile ile kipenzi na moyo wa marehemu ulipokuwa
Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
Yake Ni kujipendekeza tu.Kuna nidhamu za Aina tatu.
1. Ya ukweli
2. Ya kujipendekeza
3. Ya uoga
Vizazi vijavyo vinaweza vikawa mataahira vikisoma vitabu hivyo.Kuna vitabu kama vitatu hivi vya JPM viko sokoni tafuta madini yaliyomo hutajuta maishani kukisoma na urithi kwa vizazi vijavyo.
Nachelea kusema kitakosa wanunuzi labda akigawe bure maana huyu msomi alijidogosha sanaa kwenye awamu iliyopita.Title owe: "Nashkuru mungu kwa kunitoa jalalani"
Kabudi aliambiwaga na Magu wewe ni mkubwa kwangu lkn ni mpumbavuuuuuuu,akainuka kwny kiti chake akasujudu kwa heshima kabisa akisema asante sana.
Vipo sasa tena kwenye maduka yenye hadhi kubwa hapo Samora na wenye utaalamu wa kisayansi wamevivulia kofia kwa kusheheni madini adhimuVizazi vijavyo vinaweza vikawa mataahira vikisoma vitabu hivyo.
Nini faida ya elimu kwenye hizi nidhamu?? Mfano mnamzungumziaje Mzee Rugemalila Vs Prof Majalala kwenye hizi nidhamu??Kuna nidhamu za Aina tatu.
1. Ya ukweli
2. Ya kujipendekeza
3. Ya uoga
Labda madini ya bati.Vipo sasa tena kwenye maduka yenye hadhi kubwa hapo Samora na wenye utaalamu wa kisayansi wamevivulia kofia kwa kusheheni madini adhimu
Kabudi bana ana mambo ya kipekee sana! Sema alijua kuucheza wimbo wa Magufuli ndio maana amedumu vizuri kwenye kula nae keki ya taifa!Kabudi aliambiwaga na Magu wewe ni mkubwa kwangu lkn ni mpumbavuuuuuuu,akainuka kwny kiti chake akasujudu kwa heshima kabisa akisema asante sana.
Titles please?Kuna vitabu kama vitatu hivi vya JPM viko sokoni tafuta madini yaliyomo hutajuta maishani kukisoma na urithi kwa vizazi vijavyo.