Wo shi niubi
JF-Expert Member
- Aug 14, 2015
- 1,268
- 1,652
Hii dunia ni ngumu sana kuielewa, kina Pompeo wanahubiri katika mataifa mengine free and fair election, viongozi wakubali matokeo ya uchaguzi wakati huo Pompeo hamtambui na kumkubali Biden kama mshindi halali wa USA, hii inatuambia nini ndugu zangu?