Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,070
Zamani nilikuwa nikiona mtu anaitwa Profesa au Dr najua ana akili kwelikweli wakati huo nilikuwa sijakutana na hawa kina Kabudi. Ndio maana kumbe watu wenye pesa zao hawataki watoto wao wasome vyuo vya hapa Tanzania.