Siyo pumba. Sikiliza vizuri utaona mantikiHuyu jamaa alinifanya nihairishe kusomea PHD pamoja na kuchaguliwa kusomea kozi hiyo Mlimani.
Yaani ukimuangalia unaona kabisa anaongea aliyotumwa akaseme Prof mzima unalazimishwa kuongea pumba kwa ajili ya kulinda nafasi yako
Niweke hapa hiyo list kwani hapa ni bunge la ulaya? Hizo pesa hazikutolewa na bunge ulaya ripoti haiendi kwao. Inaenda kwa waliotoa pesa kazi ya bunge la ulaya sio kutoa pesa za misaada halina hela. Hela bunge walizonazo ni za wao kulipana mishahara na posho tu
Hatuandamani lakini tumeenda kuwachongea SASA wanakodoa mimacho. Tumeandamana kisayansi.Tunaandamana mtandaoni serikali yenyewe inaandamana barabarani imesahau nyakati hizi watu ni kupress button tu mambo kwisha wao waendelee kuzururisha hao maaskari wao barabarani
Hata Zimbabwe ni huru kabisaSs ni nchi huru, uchaguzi umekwisha, raisi ni John na misaada tunaitaka.
Mku una alalisha hayo. Tanzania hayakuzoeleka hayoWatu wanauana kila kukicha Duniani sio Tanzania tu... na hili mnasababisha wenyewe wapiga mayowe....mnainfluence vijana wasio na hili wala lile na kuwaaminisha yasiyokuwepo.....
Kila serikali Duniani ina dosari zake.....ukiwa na kundi lisilofikiria lkapata viongozi wahemkaji tarajia vifo.
Hoja ya kura ni mfu....ninachojua mimi hata kura ungehesabu wewe JPM angeshinda awamu hii.