Wakuu
Mtakumbuka baada ya prof. Kabudi Palamagamba kupata teuzi ya kuwa waziri wa katiba na sheria hapa nchini alianza kwa kasi kubwa na ya ajabu, waswahili wengi tulimuunga mkono na tukawa na imani naye kwamba katiba mpya inakuja
Prof Kabudi alianza kwa kuweka katiba mpya kama kipaumbele chake pindi anapoanza kuitumikia wizara yake, hili lilikuwa ni tamko tu lisilotekelezeka kama yalivyomatamko ya mawaziri wengine wanavyojitutumua wakipata teuzi
Ni wazi sasa Prof Kabudi amefail katika hili kutokana na kauli ya waziri mkuu kwamba hiki si kipaumbele cha awamu ya 5
Yuko wapi prof Kabudi waziri wa sheria na katiba, walau alitolee neno hii kauli ya waziri?
Kwa kuwa kipaumbele chake kimeshindwa, anaonaje akijiuzuru kwani mtazamo wake uko against na awamu hii kupisha waziri mwingine atakayeendana na serikali hii
Mtakumbuka baada ya prof. Kabudi Palamagamba kupata teuzi ya kuwa waziri wa katiba na sheria hapa nchini alianza kwa kasi kubwa na ya ajabu, waswahili wengi tulimuunga mkono na tukawa na imani naye kwamba katiba mpya inakuja
Prof Kabudi alianza kwa kuweka katiba mpya kama kipaumbele chake pindi anapoanza kuitumikia wizara yake, hili lilikuwa ni tamko tu lisilotekelezeka kama yalivyomatamko ya mawaziri wengine wanavyojitutumua wakipata teuzi
Ni wazi sasa Prof Kabudi amefail katika hili kutokana na kauli ya waziri mkuu kwamba hiki si kipaumbele cha awamu ya 5
Yuko wapi prof Kabudi waziri wa sheria na katiba, walau alitolee neno hii kauli ya waziri?
Kwa kuwa kipaumbele chake kimeshindwa, anaonaje akijiuzuru kwani mtazamo wake uko against na awamu hii kupisha waziri mwingine atakayeendana na serikali hii