MIMI BABA YENU
JF-Expert Member
- Mar 1, 2019
- 295
- 679
Waziri wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa Prof. Palamagamba John Kabudi amefanya mazungumzo na Balozi wa Ufaransa nchini, Mheshimiwa Frédéric Clavier.
Katika mazungumzo hayo, Tanzania na Ufaransa zimekubaliana kushirikiana katika masuala mbalimbali ikiwemo kilimo cha zabibu, uzalishaji wa mvinyo na mauzo yake nje ya nchi.
Katika mazungumzo hayo, Tanzania na Ufaransa zimekubaliana kushirikiana katika masuala mbalimbali ikiwemo kilimo cha zabibu, uzalishaji wa mvinyo na mauzo yake nje ya nchi.