MISULI
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,826
- 5,451
Huko wanakoitaga media kumtukana na kumkejeli magufuli kwanini wasitumie kutangaza sera zao?Mara ngap kaongea na waandishii wa habar?Hata kama CHADEMA wametunga Sera mpya watazielezea wapi wakati wanazuiwa hata kufanya mikutano ya ndani!