Police yetu inatumikia wanasiasa baada ya kutumikia wananchi hiyo ndo changamoto kubwa tuliyonayo Afrika police awajui mishahara wanayopata inatoka kwa wananchi wanaowapiga mabomu ya machozi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.