Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,917
- 31,157
Huu ujumbe umfikie mwenyekiti wa chadema asiyetaka kustaafu
Nadhani haujaelewa ujumbe
Huu ujumbe umfikie mwenyekiti wa chadema asiyetaka kustaafu
Pamoja na udhaifu wote wa kibinadamu alionao JPM sifa yake kubwa ni ufuatiliaji wa yanayokubalika kufanyika iwe katika vikao iwe ni maagizo anayotoa majukwaani.BTW hakuna hata Mtanzania moja anayemwabudu JPM huo ni uongo na ulaghai wa hali ya juu, hivi huu uongo ndio unaopelekea Max kupata tuzo? Kama ni hivyo basi hata muktada wa kuongoza Serikali utakuwa hauna maana kwa sababu wengi wanafikiria majungu zaidi.
Baada ya 2025 tutakumbushana humu JF jinsi 2015 ilivokuwa ie alipoikuta Tanzania iliyoachwa na JK na mahali atakapotufikisha JPM inshallah 2025, miaka minne tu mafanikio ya JPM yanawafanya wengi wakose usingizi maana, kwanza hakuna hata moja anayeweza kusema anaweza kumuhonga rais wala anayeweza kusema anaweza kumshawishi JPM kwa jambo lolote. Hiyo ndio heshima ya kuwa rais. Shida zenu binafsi tatueni nyinyi wenyewe binafsi msimsukumizie rais. JPM ana kazi moja tu na ni mkataba wake na Watanzania, nyinyi wengine mlie tu hadi chozi la damu liwatoke.
JPM piga kazi kelele za mlango zisikukoseshe usingizi Watanzania wengi tupo nyuma yako na kuku-support.
Ghaddafi na JPM ni watu wawili tofauti. Libya na TZ ni nchi mbili zenye historia mbili tofauti.Nikikumbuka Gaddafi alivyookotwa kwenye mtaro pamoja na kuwapa kilakitu watu wake uwa namshangaa sana Jiwe.
Nadhani haujaelewa ujumbe
Halafu wanakuwa vimbelembele kusema kuwa yunaongozwa na dikteta wakati udikteta ni sehemu ya maisha yao ya kila siku.Ngongo Habari za Arusha mkuu, natumaini unakula kuku na biskuti kama kawaida …. …… ...
View attachment 1270137
Kumetokea nini tena?
Nendeni mkawateke na Canada..au mzee wa chattle atoe amri ndege iachiwe kufikia kesho jioni...ha ha haHuu ujumbe umfikie mwenyekiti wa chadema asiyetaka kustaafu
Huu ujumbe umfikie mwenyekiti wa chadema asiyetaka kustaafu
Wewe ni mwanachadema unachotakiwa kwenye mkutano wenu utoe hoja ili jina lake lisipite kwenye uchaguzi wenu lakini ukituambia sisi ambao hatushiriki kwenye vikao vyenu hatuwezi kukusaidia mbowe aachie ngazi maana wenye maamuzi ni nyie wanachamaHuu ujumbe umfikie mwenyekiti wa chadema asiyetaka kustaafu