Prof Issa Shivji: The war between Russia and Ukraine

We have local fish to fry, if we can even get them to the kitchen.

The Mara river, news broke this week, is littered with cow's urinal and fecal waste, killing the fish.

Vast majority of Tanzanians go the bushes everyday to help themselves because we don't have enough pit latrines, never mind the hygienic and civilized in-door lavatories. The people who we are looking up to to help us realize the dream of having enough pit latrines do not even know how to use pit latrines

So, we, Africans, like our cows and goats, can not think of a proper place to go to bathroom.

That is the sheer scale of our problems. It is how grotesquely backward and heathen we are. Indisputably, these are the problems that the Professor Shivji's of Africa should grapple with, rather than worry about who in Europe breached the Minsky Accord.
 
Nashangaa kwa msomi kama Shivji kutuambia Yunakovich alipinduliwa na Zelensky! Au ule uchaguz ulikuwa na figisu figisu? Mbona hajaongelea katiba ya Ukraine ndo imechagua kujiunga na EU n finally NATO? Au pia alitaka tuwachagulie wananchi wa Ukraine constitution yao pia?
 
Hoja ambayo sijaikubali sana ni raisi wa Ukraine kukosa political legitimacy kwa kuwa raia wa Israeli. Katika nchi ambayo Sheria zake zinaruhusu uraia pacha sioni kama itaibua maswali kwa umma.[/QUOTE]

Hiyo sio muhimu lakini amezungumzia juu ya kutumika kumuondoa iyekuwa madarakani kwa njia ya demokrasia kwa hila kwa msaada wa USA/NATO. Kutumika kubreach makubaliano ya minsk,
 
Haelewi Msumbiji maraisi tulishaamua kuweka watanzania ili mpaka wetu na Msumbiji kuwa salama

Raisi wa sasa wa Msumbiji mtanzania kwao Kurasini kabomolewa hadi nyumba yake pale keko ufundi na fidia kalipwa vizuri

Ana uraia wa nchi mbili Msumbiji na Tanzania
Weeeeeée!!!!!!! Ni mtanzania?????
 
It is vivid that NATO is a foreign policy tool to the US, the member countries are not allies but vasals.

By saying NATO is a tool, it needs a constant foe (Russia) to prove it's existence because the purpose of NATO is not solely to counter Russia but an armed force in third world countries where the highest in the food chain have interests.

During the Ukraine protests that led to the overthrow of Ukrainian president, the current regime and supporters shot the protesters with sniper rifles for them to put the blame on Viktor's government!
 
Msimamo wa Professor Shivji wa kinafiki eti yuko katikati

Ukraine ni nchi huru yaweza jiunga jumuiya yeyote bila kum mhusisha jirani.Yaweza alika majeshi yote yawe ya NATO kuweka vituo nchini kwake kwa ulinzi wake popote hata mpakani na Russia kinamuuma nini? Ohh in future waweza nishambulia .Wakushambulie kwa lipi?

Kenya viko vituo vya Marekani mbona hatujawahi bweka kushambulia Kenya kuwa in future waweza kushambulia?

Proffesa kaandika kinafiki.na unafiki uliojaa woga wa unknown asionekane yuko huku wala huku ohh yuko katikati mmmmm!!!!
Taira kweli ww unaifananisha Kenya na urusi kiazi kweli kabisa ww
 
I think Professor Shivji can do better than this. From how I know him, he's smarter than this. I expected an in-depth, bold and unbiased Analysis on all angles of the subject. Sadly, he just popped up here with an nalysis that's no different from other biased and shallow fellas.

Kwa maoni yangu kuna watu wametoa analysis nzuri na zinazotoa funzo juu ya hili swala zaidi ya Prof Shivji alivofanya hapa. Kama kweli anataka tuheshimu maoni yake kama msomi juu ya hili swala kama anavo claim basi ilibidi adhihiriahe kweli kwa kugusa sehemu zote za huu mgogoro; ulianzia wapi, umefika wapi, suluhisho ni lipi na kwanini suluhisho liwe flani na lisiwe flani na yapi yatakua matokeo ya mgogoro huu in a long run, nani atafaidika na nini na nani atakosa nini na kwasababu gani itatokea hivo.

Based on the social, economic and plotical motives zilizopo currently na kihistoria, ilibid Prof adadavue kwelikweli ndo tuseme kaitendea haki mada sio kuja hapa na kutoa uchambuzi huu ambao mim nauona ni sawa na wa mtu wa kawaida kabisa ambaye ana mihemuko.

Au labda Kingereza ndo kimewachanganya wadau, kiasi kila mtu anasifia sana uzi akati ni kitu cha kawaida na hamna cha ajabu alichafanya Prof hapa
 
I think Professor Shivji can do better than this. From

Au labda Kingereza ndo kimewachanganya wadau, kiasi kila mtu anasifia sana uzi akati ni kitu cha kawaida na hamna cha ajabu alichafanya Prof hapa
Kifupi mada aliyoandika Proffessor Shivji imejaa maneno mengi ya kingereza kuliko hoja
 
I think Professor Shivji can do better than this. From how I know him, he's smarter than this. I expected an in-depth, bold and unbiased Analysis on all angles of the subject. Sadly, he just popped up here with an nalysis that's no different from other biased and shallow fellas.

Kwa maoni yangu kuna watu wametoa analysis nzuri na zinazotoa funzo juu ya hili swala zaidi ya Prof Shivji alivofanya hapa. Kama kweli anataka tuheshimu maoni yake kama msomi juu ya hili swala kama anavo claim basi ilibidi adhihiriahe kweli kwa kugusa sehemu zote za huu mgogoro; ulianzia wapi, umefika wapi, suluhisho ni lipi na kwanini suluhisho liwe flani na lisiwe flani na yapi yatakua matokeo ya mgogoro huu in a long run, nani atafaidika na nini na nani atakosa nini na kwasababu gani itatokea hivo.

Based on the social, economic and plotical motives zilizopo currently na kihistoria, ilibid Prof adadavue kwelikweli ndo tuseme kaitendea haki mada sio kuja hapa na kutoa uchambuzi huu ambao mim nauona ni sawa na wa mtu wa kawaida kabisa ambaye ana mihemuko.

Au labda Kingereza ndo kimewachanganya wadau, kiasi kila mtu anasifia sana uzi akati ni kitu cha kawaida na hamna cha ajabu alichafanya Prof hapa
Who cares what you think?
'Comment' yako imejaa shutuma na blah blah. Shutuma ambazo hazina ushahidi kuzithibitisha.
You can't simply tell us the renowned professor's analysis is shallow/not in-depth, unbold and biased without showing us with clear evidences How and where! It'd be very wise of you to come up with another analysis just to show us where his analysis has come up short. Or better yet put out your own analysis about the same subject matter so that we could see for ourselves how Shallow, biased and unbold is that of professor. Trouble is no one knows Emmanuel alden to even bother with his analyisis. Again Like i said who cares what you think

Mahaba yamekufika happaa! mpaka unasema uchambuzi kama huu unaweza kutolewa na mtu wa kawaida. Yaani mtu wa kawaida kama wewe unaweza kutoa uchambuzi kama huo, hahaha. Au 'mtu wa kawaida' ulikuwa unamaanisha nini?

Yes, kiingereza pia kinaongeza marks. Hilo yai huwezi kuligonga kama hukukaa darasani kweli na ndio maana mimi na wewe hapa tunaishia kuchanganya lugha kibao kwenye reply moja

Achana na shivji mzee sio level zako, yule mtu mwingine.


Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Msimamo wa Professor Shivji wa kinafiki eti yuko katikati

Ukraine ni nchi huru yaweza jiunga jumuiya yeyote bila kum mhusisha jirani.Yaweza alika majeshi yote yawe ya NATO kuweka vituo nchini kwake kwa ulinzi wake popote hata mpakani na Russia kinamuuma nini? Ohh in future waweza nishambulia .Wakushambulie kwa lipi?

Kenya viko vituo vya Marekani mbona hatujawahi bweka kushambulia Kenya kuwa in future waweza kushambulia?

Proffesa kaandika kinafiki.na unafiki uliojaa woga wa unknown asionekane yuko huku wala huku ohh yuko katikati mmmmm!!!!
Tunachaguliana misimamo ?

Nilidhani uhuru wa kifikra unaendana pia na mtu kusimamia msimamo wake...., hii sio mbili kujumlisha mbili ni nne..., au black or white there are a lot of grey areas
 
I think Professor Shivji can do better than this. From how I know him, he's smarter than this. I expected an in-depth, bold and unbiased Analysis on all angles of the subject. Sadly, he just popped up here with an nalysis that's no different from other biased and shallow fellas.

Kwa maoni yangu kuna watu wametoa analysis nzuri na zinazotoa funzo juu ya hili swala zaidi ya Prof Shivji alivofanya hapa. Kama kweli anataka tuheshimu maoni yake kama msomi juu ya hili swala kama anavo claim basi ilibidi adhihiriahe kweli kwa kugusa sehemu zote za huu mgogoro; ulianzia wapi, umefika wapi, suluhisho ni lipi na kwanini suluhisho liwe flani na lisiwe flani na yapi yatakua matokeo ya mgogoro huu in a long run, nani atafaidika na nini na nani atakosa nini na kwasababu gani itatokea hivo.

Based on the social, economic and plotical motives zilizopo currently na kihistoria, ilibid Prof adadavue kwelikweli ndo tuseme kaitendea haki mada sio kuja hapa na kutoa uchambuzi huu ambao mim nauona ni sawa na wa mtu wa kawaida kabisa ambaye ana mihemuko.

Au labda Kingereza ndo kimewachanganya wadau, kiasi kila mtu anasifia sana uzi akati ni kitu cha kawaida na hamna cha ajabu alichafanya Prof hapa
Kiingereza cha kuunga unga
 
Back
Top Bottom