permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 10,026
- 11,218
Ubepari ndio mfumo wa dunia kwa sasa. Ujamaa umebakia kwenye makaratasi kama vile Tanzania inavyojiita nchi ya kijamaa katika Sheria ila kiuhalisia ni ubepari mtupu.Mzee tulikuwa wote kupambania chama kumbe mwenzetu unashabikia mabepari!?