Kwa kuangalia uungwana, hata Mwalimu angepokea lakini angewachana hapo hapo kama ambavyo aliwachana walioenda kumjengea nyumba kubwa Butiama kwa kuwaambia "... kwani mimi ni tembo hadi nijengewe nyumba kubwa kiasi hicho ?!"Mzee Shivji ameniwahi, hata mimi nilitaka kuhoji "Hivi Mzee Julius kweli angekubali kupokea zawadi ya Benzi kama ile?"