MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 20,897
- 63,783
Hivi hili la Prof Shivji kumtwanga mwenzake kijembe kama hiki limekaaje ??
Hivi huyu Shivji si ndiye yule muumini wa ile falsafa mfu ya Juche ambayo imechangia kuleta umasikini mkubwa sana hapa nchini ??
Pia si ndiyo naye aligeuka sana akaweka siasa za chama mbele akihujumu Katiba ya Warioba huyu ??
CC: JokaKuu , Nguruvi3, chige, Wick, Red Giant
Hivi huyu Shivji si ndiye yule muumini wa ile falsafa mfu ya Juche ambayo imechangia kuleta umasikini mkubwa sana hapa nchini ??
Pia si ndiyo naye aligeuka sana akaweka siasa za chama mbele akihujumu Katiba ya Warioba huyu ??
CC: JokaKuu , Nguruvi3, chige, Wick, Red Giant