Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 58,671
- 78,262
nimeweka hii makusudi nione wale wanaopiga kelele za Dr Slaa watasema nini? maana najua watu wanafiki humu kila mtu anajua hili ni suala binafsi ila wale ndg zetu huwa vimbelembele sana sasa kama yuko na Gorgina Mtenga na wamezaa watoto watatu bila ya ndoa je ni uhalali huo?