HADJ DROGBA
Member
- Dec 16, 2009
- 67
- 9
Habarini ndugu zangu wana jamvi?wataalam mi nahitaji kujua kama profesor lipumba ana mke na watoto. Kwani sijawahi sikia kuhusu familia yake, wengine wananiambia hajawahi kuoa ka spendi maisha yake kwenye elimu. Je ni kweli? Kama ana mke na watoto nitashkuru kama ntafahamishwa. Sio umbea ila ni vizuri kumjua prominent figure kama yeye. Tokea 1995 anagombea urais na wala hachoki. Karibuni jamvini waungwana.
Hapana bwana ameoa kwa sasa,mimi ninavyojua alikua hajaoa kipindi kile anagombea urais for the first time 1995.Ila baadae kuelekea uchaguzi wa 2000 alishapata mke kwa ndoa ya mkeka kwa maana ya isiyo na vishindo,alimuoa dada mmoja mrembo jina nimelisahau akifanya kazi RED CROSS enzi hizo Mh.KINANA akiwa boss pale.Hivyo basi mh.kinana anamfahamu vilivyo mwana mama huyo,lakini kama alikuja kumuacha baadae hilo suala lingine bandugu.