Prof. Hosea hali ni ngumu uchaguzi mkuu TLS, ulipaswa kuelewa kazi ya TLS Toka unaingia ofisini; usiwahadae wapiga kura na press release

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
May 18, 2019
762
6,980
Mara kadhaa Prof. Hosea alipokuwa anaulizwa kuhusu msimamo wa TLS issue ya akina Halima Mdee alikataa kutoa msimamo wa chama hicho Cha kitaaluma. Ameona uchaguzi umekaribia na wapinzani wake wameelekea kushinda ameamua kupingana na msimamo wa Bunge, Mahakama na Serikali na kuja na msimamo wa kikatiba. Hii ni rushwa Kwa wapiga kura na huu siyo msimamo unaotoka kwenye uongozi wake ni msimamo wenye lengo la kuwahadaa wapiga kura.

Uliishi kiujanja ujanja na Serikali ukifumbia macho uovu Sasa hao uliowatumikia wakakupe kura. Prof. Hosea usilaumu wapiga kura laumu userikali uliopo moyoni mwako ambao unakueleza Kila wakati kutokusema kweli.

Wito Kwa wasomi, kura ni Siri na mkimbua Hilo lazima mtapiga kura yenye tija kuonyesha mpo independent. Mtaonyesha kwamba pamoja na ndoa ya TLS na Serikali ninyi mngependa kuvunja ndoa hiyo na kufunga ndoa ya TLS na mfumo wa haki. Saccos siyo hisani Kwa wasomi wala ruzuku siyo hisani Kwenu; mnapaswa kutambua mnayo nafasi yakubomoa mfumo wakujipendekeza mkaleta mfumo wa kupigania haki za familia zenu na kazi zenu mnazofanya mtaani

Narudia msimamo wa TLS kuhusu wabunge 19 upo sahihi lakini umeletwa kama rushwa Kwa wapiga kura. Tusihongwe
 
Mara kadhaa Prof. Hosea alipokuwa anaulizwa kuhusu msimamo wa TLS issue ya akina Halima Mdee alikataa kutoa msimamo wa chama hicho Cha kitaaluma. Ameona uchaguzi umekaribia na wapinzani wake wameelekea kushinda ameamua kupingana na msimamo wa Bunge...
Msihongwe wewe na nani? TLS na siasa wapi na wapi? CHADEMA bhana...hehe
 
Hosea has been a government functionary all his life; nyie Mawakili vijana kumchagua Hosea ni kuuza heshima ya Chama chenu iliyojengwa kwa umahili mkubwa!!! Choose one of your own but not Hosea to regain your respect.
 
Mara kadhaa Prof. Hosea alipokuwa anaulizwa kuhusu msimamo wa TLS issue ya akina Halima Mdee alikataa kutoa msimamo wa chama hicho Cha kitaaluma. Ameona uchaguzi umekaribia na wapinzani wake wameelekea kushinda ameamua kupingana na msimamo wa Bunge, Mahakama na Serikali na kuja na msimamo wa kikatiba. Hii ni rushwa Kwa wapiga kura na huu siyo msimamo unaotoka kwenye uongozi wake ni msimamo wenye lengo la kuwahadaa wapiga kura.

Uliishi kiujanja ujanja na Serikali ukifumbia macho uovu Sasa hao uliowatumikia wakakupe kura. Prof. Hosea usilaumu wapiga kura laumu userikali uliopo moyoni mwako ambao unakueleza Kila wakati kutokusema kweli.

Wito Kwa wasomi, kura ni Siri na mkimbua Hilo lazima mtapiga kura yenye tija kuonyesha mpo independent. Mtaonyesha kwamba pamoja na ndoa ya TLS na Serikali ninyi mngependa kuvunja ndoa hiyo na kufunga ndoa ya TLS na mfumo wa haki. Saccos siyo hisani Kwa wasomi wala ruzuku siyo hisani Kwenu; mnapaswa kutambua mnayo nafasi yakubomoa mfumo wakujipendekeza mkaleta mfumo wa kupigania haki za familia zenu na kazi zenu mnazofanya mtaani

Narudia msimamo wa TLS kuhusu wabunge 19 upo sahihi lakini umeletwa kama rushwa Kwa wapiga kura. Tusihongwe
Kuna tu vyombo tungine tunajiona very special🤔🤔
Kama haka ka TLS🤣🤣🤣
Kwanza uchaguzi wenyewe ni kula mwaka 😏😏
Hatualali yaani ni TLS tuuu🤷🤷🤷
Mbona kuna CRB kule na hawana kelele kama hawa vilaza wanaojiita wasomi kazi kuriri vifungu na kesi za ulaya. Hii nchi buana😭😭

Hebu nendeni kwenye whatsap group zenu msitujazie server ya jf
 
Mara kadhaa Prof. Hosea alipokuwa anaulizwa kuhusu msimamo wa TLS issue ya akina Halima Mdee alikataa kutoa msimamo wa chama hicho Cha kitaaluma. Ameona uchaguzi umekaribia na wapinzani wake wameelekea kushinda ameamua kupingana na msimamo wa Bunge, Mahakama na Serikali na kuja na msimamo wa kikatiba. Hii ni rushwa Kwa wapiga kura na huu siyo msimamo unaotoka kwenye uongozi wake ni msimamo wenye lengo la kuwahadaa wapiga kura.

Uliishi kiujanja ujanja na Serikali ukifumbia macho uovu Sasa hao uliowatumikia wakakupe kura. Prof. Hosea usilaumu wapiga kura laumu userikali uliopo moyoni mwako ambao unakueleza Kila wakati kutokusema kweli.

Wito Kwa wasomi, kura ni Siri na mkimbua Hilo lazima mtapiga kura yenye tija kuonyesha mpo independent. Mtaonyesha kwamba pamoja na ndoa ya TLS na Serikali ninyi mngependa kuvunja ndoa hiyo na kufunga ndoa ya TLS na mfumo wa haki. Saccos siyo hisani Kwa wasomi wala ruzuku siyo hisani Kwenu; mnapaswa kutambua mnayo nafasi yakubomoa mfumo wakujipendekeza mkaleta mfumo wa kupigania haki za familia zenu na kazi zenu mnazofanya mtaani

Narudia msimamo wa TLS kuhusu wabunge 19 upo sahihi lakini umeletwa kama rushwa Kwa wapiga kura. Tusihongwe
TLS sio bunge bali ni umoja wa wanasheria usio na meno kisheria!
 
Back
Top Bottom