Prof. Florens Luoga: Crypto-currencies are not safe as far as we know

Unayo biashara ya Forex au unasikia Tu !!..Forex trading hii ni scam!!.. Hasara ni kubwa kuliko Faida!!..Hebu Chukua hebu Nunua Euro Crdb sasa hivi alafu uuze Absa uone kama utapata Hasara kama hii yenu !!..
Tufundishe kwa vitendo weka rate ya Euro kununua CRDB kisha weka Euro kuuza Ebsa tuona faida inavyopatika
 
All Paper Money eventually returns to its intrinsic value; Zero ..., ila U-Scam wa Banks haufanyi Pesa zao kutokuendelea kuwa Legal Tender (its backed by the Powerful) wala haimaanishi kwamba Bitcoin ndio yenyewe (Liquidity yake itaendelea kuwa kikwazo)

All in all ingawa tutaondoka kwenye currency as we know it na kuhamia kwenye digital currency backed by Block Chain..., lakini hio itakuwa centralized na sio uncentralized kama bitcoin..., that's my humble opinion; na kila mtu afanye investment huko kwa utashi wake na sio jukumu la BOT kuhamasisha watu kwenye kitu ambacho huenda wakaungua hapo kesho (it needs to be proven beyond reasonable doubts)...
Ukiachana na lugola unadhani hakuna watu wakubwa Wana interest na hii biashara na kama ni salama na ina faida kubwa kwanini na Nguvu zao wameshindwa kushawishi!!..Jeff ana danganya sana
 
Sio hamna akili but you are retarded!! Rais ana moano kuliko nyinyi hapo BOTna ndio maana akawaagiza kuangalia fesibility ya kutumia digital currency!! Huyo profesa wa jalalani wa Jiwe hapo BOT badala ya kumshauri Samia yeye ndio anapewa muongozo na Samia!!! What a mess.
Hakua na uhakika ndio maana wamechunguza na kufanya tafiti wakaona sio salama (scam)
 
Sio hamna akili but you are retarded!! Rais ana moano kuliko nyinyi hapo BOTna ndio maana akawaagiza kuangalia fesibility ya kutumia digital currency!! Huyo profesa wa jalalani wa Jiwe hapo BOT badala ya kumshauri Samia yeye ndio anapewa muongozo na Samia!!! What a mess.
Kweli hawa jamaa ni wajima sana ndio Maana walifungia PayPal tusifanye biashara Dunia kisha wanajiita wachumi
 
Hakua na uhakika ndio maana wamechunguza na kufanya tafiti wakaona sio salama (scam)

Unadhani Kweli ingekuwa sio salama benki kuu ya Nigeria ingewezaje kuanzisha digital currency yake? Our people have no confidence in their economic decisions!! Nakumbuka enzi za yule BOT Gavana aliyefariki recently [ Benno Ndullu] alimkatalia kabisa Jiwe kutoza kodi miamala ya simu kwani hizo tozo zilikuwa zinawatoa masikini nje ya mzunguko wa fedha[ FINACIAL INCLUSION] na hivyo kudumaza ukuaji wa uchumi!!! He stood by his conviction and JIWE had no option but to relent!! Sasa hawa wa leo hawana confidence hiyo because they are ignorant na ndio maana mambo yamekuwa magumu kwa wananchi inspite of cooked up data!!!
 
1000 kuuza 1035 ukitoa Kodi na kadhalika unaweza kupata 1025 still ni Faida hakuna network error wala kuumwa cancer hata partners kutapeli achana na broker hapo

1000 kuuza 1035 ukitoa Kodi na kadhalika unaweza kupata 1025 still ni Faida hakuna network error wala kuumwa cancer hata partners kutapeli achana na broker hapo
Ingia kwenye website za bank zote mbili creenshot rates zote kuuza na kununua unifundishe kwafaida ya Watu wengine nitakushukuru sana mkuu
 
Unadhani Kweli ingekuwa sio salama benki kuu ya Nigeria ingewezaje kuanzisha digital currency yake? Our people have no confidence in their economic decisions!! Nakumbuka enzi za yule BOT Gavana aliyefariki recently [ Benno Ndullu] alimkatalia kabisa Jiwe kutoza kodi miamala ya simu kwani hizo tozo zilikuwa zinawatoa masikini nje ya mzunguko wa fedha[ FINACIAL INCLUSION] na hivyo kudumaza ukuaji wa uchumi!!! He stood by his conviction and JIWE had no option but to relent!! Sasa hawa wa leo hawana confidence hiyo because they are ignorant na ndio maana mambo yamekuwa magumu kwa wananchi inspite of cooked up data!!!
Rafiki kuna vitu mnajaribu kubisha lakini hakuna namna itasaidia!!!..Hawa brokers ndio wameharibu biashara yenu kabisa!!..Hakuna ukweli kwenye biashara yenu,Faida zipo kwenye Demo lakini uhalisia ni hasara
 
Gavana wa benki kuu ya Tanzania Prof. Florens Luoga amesema wanachojua mpaka sasa ni kuwa sarafu za kidijitali sio salama. Aidha amesema kwamba hawawezi kusema ni lini watatoa maelekezo kwani bado wanafanya utafiti.

Watatoa kanuni na miongozo wakishamaliza endapo watakamilisha utafiti wao.

======


"As far as we know Crypto-currencies are not safe. We cannot give timelines when to issue regulations, we are still researching – we will give regulations when we have finished our research" - Prof. Florens Luoga, Governor, Bank of Tanzania.

SOURCE: Bank of Tanzania
Anabisha na Raisi kwasabu mwanamke katiba tulionayo Raisi akisema Jambo ni sheri BOT tii Sheri acha propaganda
 
Uliniuliza swali kuhusu rais wa TZ kumiliki TZS

Halafu unauliza tena swali lingine na mada nyingine

Na kwa msingi wa swali hili inaonyesha hiyo El Salvador yenyewe hufaitilii kiundani.
Pamoja na BTC kugeuzwa legal tender, el salvador kwa sasa wanaspeculate vile vile, Serikali ya El Salvador wana account ya bitcoin wanaiita Bitcoin Trust Account (FIDEBITCOIN) ambayo mpaka sasa ina bitcoin 1,120. Ambapo serikali ilisema mwezi wa 11 ilitengeneza faida hivyo faida waliyopata baada ya uwekezaji kwenye speculation kupitia FIDEBITCOIN account itapelekwa kutengeneza shule 20.

Sasa wewe unasemaje kuwa hawaspeculate.

We jamaa bwana sijui shida yako nini?

Kwa unaelewa maana ya hiyo account yenye bitcoin 1000+ (baada ya kuongeza bitcoin nyingine juzi)?

Na unajua dhumuni lake ni nini?

Je nikisema kwa sababu Tz ina mfuko/account ya kuhifadhia fedha pale BoT in TZS au USD utasema ina speculate?

Je hiyo account ambayo El savador wanahifadhia bitcoin zao inatofauti gani na account ambayo BoT inahifadhia fedha za taifa (shilingi za kigeni na TZS)?
 
We jamaa bwana sijui shida yako nini?
Currency Speculations ipigwe marufuku na hatua kali zichukuliwe kama wafanyavyo wachina.
Kwa unaelewa maana ya hiyo account yenye bitcoin 1000+ (baada ya kuongeza bitcoin nyingine juzi)?
Faida ya bitcoin inapatakinaje?
Na unajua dhumuni lake ni nini?
Bukele alijinasibu kutumia bitcoins kupunguza mdororo wa uchumi.
Je nikisema kwa sababu Tz ina mfuko/account ya kuhifadhia fedha pale BoT in TZS au USD utasema ina speculate?

Je hiyo account ambayo El savador wanahifadhia bitcoin zao inatofauti gani na account ambayo BoT inahifadhia fedha za taifa (shilingi za kigeni na TZS)?
Foreign currency(na sio cryptocurrency) inahitajika TZ kwa sababu ya kufinance miradi na pia ku-import na ku-export goods (real economy)

Nikuulize, swali kwa nini hiyo el salvador hawakutumia forex reserve yao yote ya dola(bil 2 kufikia april) kununua bitcoin? isipokuwa ni kasehemu kadogo ya reserve.
 
Currency Speculations ipigwe marufuku na hatua kali zichukuliwe kama wafanyavyo wachina.

Faida ya bitcoin inapatakinaje?

Bukele alijinasibu kutumia bitcoins kupunguza mdororo wa uchumi.

Foreign currency(na sio cryptocurrency) inahitajika TZ kwa sababu ya kufinance miradi na pia ku-import na ku-export goods (real economy)

Nikuulize, swali kwa nini hiyo el salvador hawakutumia forex reserve yao yote ya dola(bil 2 kufikia april) kununua bitcoin? isipokuwa ni kasehemu kadogo ya reserve.

Ulileta hoja ya kwamba wanatumia account ya bitcoin ku speculate ninakuuliza hivi BoT hawana account ya fedha za TZS na fedha za kigeni? Je na BoT kwa sababu wana account ya fedha za nje nao speculate ukaamisha goli ukasema ni ku finance miradi! Yani tofauti kabisa na swali nililo uliza.

Sasa nakuuliza tena. Unijibu.

1. Kwa sababu umesema elsavado wana account ya bitcoin basi wana speculate Je nao BoT kwa sababu wana account ya fedha za ndani na nje nao wanaspeculate?

2. Unauliza kwann elsavador hawajatumia resrve yao yote ya usd kununua bitcoin, je unaamini kwamba pamoja na uwepo wa TZS bado Tz tuna reserve ya usd na eur na gbp? Kama unaamini je kuna shida gani elsavador kuwa na reserve ya usd kama ilivyo Tz na nchi nyingine?

Jibu maswali yote.
 
Back
Top Bottom