luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,303
- 8,251
- Thread starter
- #21
chuki yako ni hilo jina LA Prof tu na sio vinginevyo kunywa sumu ufeso what?
chuki yako ni hilo jina LA Prof tu na sio vinginevyo kunywa sumu ufeso what?
What point are you trying to make , unataka ku establish nini?Naona unampigia prom za rejereja Prof Mtui.
Lakini kama anataka kuonekana kwenye ramani za Tanzania mimi simshauri kabisa.
Aendelee kusaidia watanzania kwa kutumia njia hizohizo tu. Mwambie asijiroge kuja Tanzania na kufanya siasa kama wenzake wakina Prof Sarungi, Kabudi, Bana, Mukandala na Shivji. He will end up being more than miserable.
NB: Mungu Ambariki sana kwa mchango wake wenye tija sana kwa nchi.
hakuna chuki, nia ya post yako ni ipi? Kuna maprofesa wangapi wako havard wanafundisha wa kutoka Tanzania? Why particular on that one!chuki yako ni hilo jina LA Prof tu na sio vinginevyo kunywa sumu ufe
Patriotism is not a single mouthed vessel,What point are you trying to make , unataka ku establish nini?
Mkuu inatosha,umemfanya aukimbie uzi wake sasa,khaa!Patriotism is not a single mouthed vessel,
Sijui kama wewe fanatical worshiper of state power utanielewa.
nAAM ANA HIYO IDEA MAANA YEYE NI KIUNGO MUHIMU KTK CHUO CHA udom ktk kusaidia vifaa tibaMwambie anachoweza kutusaidia kwasasa ni kwenda Ubalozi wa Tanzania na kuomba wazungumze na serikali ya Marekani kuhusu kuanzisha uhusiano wa kitaasisi (Institutional Collaboration through Memorandum of Understanding) baina ya Weill Cornell Medical College na Muhimbili University of Health and Allied Sciences au University of Dodoma au Chuo chochote cha Clinical Offier. Hapa tunategemea kwamba haya mahusiano baina ya hizi taasisi mbili yatakuwa yanalenga kwenye vitu kama :Twinning Programs, Collaborative Research, Staff and Student exchange programs, Joint Clinical Workshops, Curriculum Development, Sharing of facilities and etc
NB: Akifanya hivi naamini atakuwa amesaidia sana nchi yetu, kwasababu Cornel Medical School siyo ya mchezo mchezo na sisi tuna mengi sana ya kujifunza kutoka kwao. Kama uko jirani naye mwambie afanye hivi tafadhali
huna hoja endelea kula urojo hapo Pemba tuNi nani amekwambia Kabudi, Sarungi au Shivji wako miserable? Wewe ni nani kwao hadi uwasemee na kujua kwamba wako miserable?Una uelewa kwa kiasi gani kuhusu maisha yao na lipi lengo lao maishani mwao?
Wewe kama hauna furaha na maisha yako kwa choice ulizozifanya wewe mwenyewe hilo ni juu yako, usifikiri kila mtu yuko hivyo!
hahaha mkuu hilo jina la prof ndio limemkata maini sii vinginevyoMkuu inatosha,umemfanya aukimbie uzi wake sasa,khaa!
hahaha mkuu hilo jina la prof ndio limemkata maini sii vinginevyoMkuu inatosha,umemfanya aukimbie uzi wake sasa,khaa!
huyu hawz elewa hApa unasubiri mtumbwi sheliPatriotism is not a single mouthed vessel,
Sijui kama wewe fanatic worshiper of state power utanielewa.
Ni jirani yangu kule kijijini
pale marangu lekura au mamba kisambo,?Ni jirani yangu kule kijijini
Marangu Mshiripale marangu lekura au mamba kisambo,?
huwez kunipangia cha kupost,mm ni mwananchi ninaejiamini sipangiw pangiwi mambo hata bAndo nimenunua mwenyewe hakunA Alienunuliahakuna chuki, nia ya post yako ni ipi? Kuna maprofesa wangapi wako havard wanafundisha wa kutoka Tanzania? Why particular on that one!
Ni nani amekwambia Kabudi, Sarungi au Shivji wako miserable? Wewe ni nani kwao hadi uwasemee na kujua kwamba wako miserable?Una uelewa kwa kiasi gani kuhusu maisha yao na lipi lengo lao maishani mwao?
Wewe kama hauna furaha na maisha yako kwa choice ulizozifanya wewe mwenyewe hilo ni juu yako, usifikiri kila mtu yuko hivyo!
huwez kunipangia cha kupost,mm ni mwananchi ninaejiamini sipangiw pangiwi mambo hata bAndo nimenunua mwenyewe hakunA Alienunuliahakuna chuki, nia ya post yako ni ipi? Kuna maprofesa wangapi wako havard wanafundisha wa kutoka Tanzania? Why particular on that one!
Its Harvard no Havard.hakuna chuki, nia ya post yako ni ipi? Kuna maprofesa wangapi wako havard wanafundisha wa kutoka Tanzania? Why particular on that one!
A good man, a pure depiction of intellectual humility.