HISIA KALI
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 694
- 108
Wakati mhe Kikwete alipopata matatizo afya pale viwanja vya Jangwani kwenye mkutano kampeni Prof David Mwakyusa alisema kuwa yeye kama waziri wa Afya angefuatilia kwa makini afya ya rais wa nchi. Sasa nimishangaa akupewa tena wizara ya Afya na kibaya zaidi ameweka kabisa pembeni.