Prof. Chachage alikataa ukuu wa Mkoa, Dr Kadeghe kashangilia ukuu wa Wilaya, Dr. Kafumu mhhhhh!

Kuna siku Professa Shivji alipotunukiwa tuzo moja kutokana na kuanzisha utafiti fulani aliponda sana dhana ya wasomi kutojikita na research badala yake wanakimbilia bungeni. Alisema hivi: {..Profesa unatafuta nini Bungeni, Bungeni kuna wawakilishi..}
 
Wakati huo (mwaka 1991) akiwa Dr. Chachage alikataa Ukuu wa Chuo Cha Ustawi wa Jamii, na Prof. Mwesiga Baregu aliukataa Ubalozi Mdogo wa Italy. Hii ilikuwa ni baada ya kutoa maoni yao katika Tume ya Nyalali juu ya matakwa ya kuwa na mfumo wa vyama vingi.

Kibaraka mmoja aliyeitwa Dr. Kweka ndiye alikubali Ukuu wa Chuo cha Sanaa Bagamoyo. Mnakumbuka mliokuwa UDSM ya "ukweli" miaka hiyo?
 
Prof Kukataa uteuzi, na wengine kukubali ni haki ya msingi ya kibinaadamu na ndiyo demokrasia. Chini ya mfumo wa demokrasia ukiona watu wote wana msimamo sawa katika jambo moja ujue kuna tatizo!
 
dr kafumu ameoteshwa akasema anarudi kwenye fani yake? au sikumuelewa? alivyo longa jana, naona kaona kuka meza moja na mwigula na nape ni kuzalilisha fani? na huku mwenzake Prfof Muhongola anafanya vitu vyake wizara ya madini na nishati.
 
Let him come to teach as a part-time tutor at her former institute, Mineral Resources Institute au aende kuendeleza chuo chao cha earth science walichoanzisha na Dr. AS Macheyeki aliyechemka hapa MRI tukamwondoa kwa ujinga wake.
 
Back
Top Bottom