Aseme tu alirudia darasa.Ndio jina likabadilika.AhaaaSuala la jina (Mussa badala ya Jaffar) lina uhusiano na kuondolewa kwake kazini kwani?
Aseme tu alirudia darasa.Ndio jina likabadilika.AhaaaSuala la jina (Mussa badala ya Jaffar) lina uhusiano na kuondolewa kwake kazini kwani?
Sana na ligaidi tumelikamata vile vileMzee alibeba chuki kwenye moyo wake,ndiomaana ikamuua,
Limekufa, na maisha yanaenda Kama kawaida na roho yake mbaya
Huyo mungu wenu bandia alikuwa mwizi na mwenye roho chafu, lilikuwa fisadi ndiomaana alikuwa hataki ukweli uwekwe waziMagu alikuwa sahihi kabisa huyu mzee mara agombane na bunge mara achokonoe mambo ya ikulu...sasa naona maumivu ya kupigwa benchi hayajapona.
Hii ni nchi ukitaka uwa outshine wenye mamlaka lazima upigwe na kitu kizito.
Kila nafsi itaonja mauti.Na Mwamba Assad Yuko zake mjini anadunda tu huku aliyempiga fitina sijui ye Yuko wapi SA hivi
Sitaki kuamini kama hii 'Para' hujamuelewa Prof. Assad.Mussa si jina langu, jina alilonipa baba yangu ni Jaffar. Wakati nasoma kulitokea matatizo fulani, ikabidi nitoke sehemu moja kwenda nyingine ili kumaliza masomo na hili jina la Mussa nikalipata huko ila watu wanaonifahamu wananijua kama Jaffar- Profesa Mussa Assad, CAG wa zamani.
Lenye kiburi lishaozeana ardhiniKwa maelezo yake tu huyu mzee ni mwenye kiburi na mwenye kujiabudu (self-worshiping)!
Kama yeye alikua appointed kulikua na shida gani mwenye mamlaka na yeye kuchukua iyo nafasi na kumpa mwingine? Je haoni kua katiba anayojifanya kuisimamia ilipaswa explicitly nafasi ya CAG ilipaswa itangazwe na iwe shindanishi ili kuondoa makandokando yote? Wakati Mkwere anatamba na Mamereta, Escrow na madubwasha mengine hapo mwishoni yeye alikua wapi?
Unafiki ni asili ya mtz..na muoga haachi asili!
Hii ya kubadili majina inafikirisha........................Niliondolewa Ofisini kinyume na taratibu kwa sababu nilikuwa nasimamia na kufanya kazi kwa kufuata taratibu na miongozo ya kazi na sio maelekezo ya mtu,kuna mahali viongozi wetu wanashindwa kusimamia wanachokiamini kwa hofu ya kuporwa V8, wanahofu kukosa riziki.
Hili suala la kuniita CAG aliyemaliza muda wake binafsi linaniudhi, katiba ibara ya 144 inatamka wazi muda wa kumaliza na sababu za kukoma kuwa CAG, mimi nilipotolewa ofisini sikuwa nimemaliza muda wangu. Nadhani hatukuwa wazuri katika kusimamia katiba.
Mussa si jina langu, jina alilonipa baba yangu ni Jaffar. Wakati nasoma kulitokea matatizo fulani, ikabidi nitoke sehemu moja kwenda nyingine ili kumaliza masomo na hili jina la Mussa nikalipata huko ila watu wanaonifahamu wananijua kama Jaffar- Profesa Mussa Assad, CAG wa zamani.
Nahisi haujashirikisha ubongo wako vizuri kabla ya kuandika haya uliyoandika.Assad ni mmojawapo wa wazalendo wachache wasio wachumia tumbo tu waliobaki.
Naye ss ameshakuwa takataka aka mboleaAnalazimisha kuonekana ni mtu msomi anaejielewa ana misimamo.
Bahati mbaya alikutana na Chuma.
Nilichokuwa nampendea yule baba JPM ukijifanya wewe ni wa muhimu sana kwenye hii nchi yeye anakuonesha namna ulivyo takataka tu na nchi inaweza kwenda mbele bila wewe hahahah.
Profesa uliondolewa na kidume sasa unalialia nini!!?
Hakuna hata kimoja hapo kilichofadhiliwa na mtu yeyote bali ni fedha za Watanzania na washirika wetu wa maendeleo hususan Japan(wamechangia zaidi ya 80% ya gharama za ujenzi wa flyover ya tazara tena mkataba wa ujenzi umesainiwa mwezi july 2015) sasa sijui ni nani unayefikiri aliuza ng'ombe zake ndio akajenga flyover na kutununulia ndege Watanzania.Utatukana huku unatumia ndege na flyover kenge wewe
Asante CAG kwa kulinda Heshima yako. Aliyetaka kukudhalilisha kasha danja wewe umebaki na heshima yako.Niliondolewa Ofisini kinyume na taratibu kwa sababu nilikuwa nasimamia na kufanya kazi kwa kufuata taratibu na miongozo ya kazi na sio maelekezo ya mtu,kuna mahali viongozi wetu wanashindwa kusimamia wanachokiamini kwa hofu ya kuporwa V8, wanahofu kukosa riziki.
Hili suala la kuniita CAG aliyemaliza muda wake binafsi linaniudhi, katiba ibara ya 144 inatamka wazi muda wa kumaliza na sababu za kukoma kuwa CAG, mimi nilipotolewa ofisini sikuwa nimemaliza muda wangu. Nadhani hatukuwa wazuri katika kusimamia katiba.
Mussa si jina langu, jina alilonipa baba yangu ni Jaffar. Wakati nasoma kulitokea matatizo fulani, ikabidi nitoke sehemu moja kwenda nyingine ili kumaliza masomo na hili jina la Mussa nikalipata huko ila watu wanaonifahamu wananijua kama Jaffar- Profesa Mussa Assad, CAG wa zamani.
Chuma kinakula kutu huko udongo wa chattleAnalazimisha kuonekana ni mtu msomi anaejielewa ana misimamo.
Bahati mbaya alikutana na Chuma.
Nilichokuwa nampendea yule baba JPM ukijifanya wewe ni wa muhimu sana kwenye hii nchi yeye anakuonesha namna ulivyo takataka tu na nchi inaweza kwenda mbele bila wewe hahahah.
Profesa uliondolewa na kidume sasa unalialia nini!!?
Chuma au Kibuyu TuAnalazimisha kuonekana ni mtu msomi anaejielewa ana misimamo.
Bahati mbaya alikutana na Chuma.
Nilichokuwa nampendea yule baba JPM ukijifanya wewe ni wa muhimu sana kwenye hii nchi yeye anakuonesha namna ulivyo takataka tu na nchi inaweza kwenda mbele bila wewe hahahah.
Profesa uliondolewa na kidume sasa unalialia nini!!?
hoja hujibiwa kwa hoja sio njaaLenye kiburi lishaozeana ardhini
Mwendazake zake ameshaenda mkuu..na huyu mwamba alikuwa wazi toka mwanzoNdungulile tu msomi kweli huyu analazimisha kugombana na marehemu alikuwa wapi kabla jpm hajakata moto
Suala la jina (Mussa badala ya Jaffar) lina uhusiano na kuondolewa kwake kazini kwani?