Prof. Assad: Niliondolewa kazini kinyume na taratibu kwasababu nilikuwa sifuati maelekezo ya Mtu

Magu alikuwa sahihi kabisa huyu mzee mara agombane na bunge mara achokonoe mambo ya ikulu...sasa naona maumivu ya kupigwa benchi hayajapona.

Hii ni nchi ukitaka uwa outshine wenye mamlaka lazima upigwe na kitu kizito.
Huyo mungu wenu bandia alikuwa mwizi na mwenye roho chafu, lilikuwa fisadi ndiomaana alikuwa hataki ukweli uwekwe wazi
 
Mussa si jina langu, jina alilonipa baba yangu ni Jaffar. Wakati nasoma kulitokea matatizo fulani, ikabidi nitoke sehemu moja kwenda nyingine ili kumaliza masomo na hili jina la Mussa nikalipata huko ila watu wanaonifahamu wananijua kama Jaffar- Profesa Mussa Assad, CAG wa zamani.
Sitaki kuamini kama hii 'Para' hujamuelewa Prof. Assad.

Hebu itafakuri tena.
 
Kwa maelezo yake tu huyu mzee ni mwenye kiburi na mwenye kujiabudu (self-worshiping)!
Kama yeye alikua appointed kulikua na shida gani mwenye mamlaka na yeye kuchukua iyo nafasi na kumpa mwingine? Je haoni kua katiba anayojifanya kuisimamia ilipaswa explicitly nafasi ya CAG ilipaswa itangazwe na iwe shindanishi ili kuondoa makandokando yote? Wakati Mkwere anatamba na Mamereta, Escrow na madubwasha mengine hapo mwishoni yeye alikua wapi?
Unafiki ni asili ya mtz..na muoga haachi asili!
Lenye kiburi lishaozeana ardhini
 
Niliondolewa Ofisini kinyume na taratibu kwa sababu nilikuwa nasimamia na kufanya kazi kwa kufuata taratibu na miongozo ya kazi na sio maelekezo ya mtu,kuna mahali viongozi wetu wanashindwa kusimamia wanachokiamini kwa hofu ya kuporwa V8, wanahofu kukosa riziki.

Hili suala la kuniita CAG aliyemaliza muda wake binafsi linaniudhi, katiba ibara ya 144 inatamka wazi muda wa kumaliza na sababu za kukoma kuwa CAG, mimi nilipotolewa ofisini sikuwa nimemaliza muda wangu. Nadhani hatukuwa wazuri katika kusimamia katiba.

Mussa si jina langu, jina alilonipa baba yangu ni Jaffar. Wakati nasoma kulitokea matatizo fulani, ikabidi nitoke sehemu moja kwenda nyingine ili kumaliza masomo na hili jina la Mussa nikalipata huko ila watu wanaonifahamu wananijua kama Jaffar- Profesa Mussa Assad, CAG wa zamani.
Hii ya kubadili majina inafikirisha........................

Hayati Dr. Pombe nilitamani sana asingekufa angekuwa hai hata kwenye wheelchair ili ashuhudie alivyoheshimiwa kwa uwoga unzi za kuketi kwake.
 
Assad ni mmojawapo wa wazalendo wachache wasio wachumia tumbo tu waliobaki.
Nahisi haujashirikisha ubongo wako vizuri kabla ya kuandika haya uliyoandika.

Assad anaweza kuwa na mapungufu yake Ila huwezi kumuita mchumia tumbo maana hakuna anachochima kwa kulamba makalio ya wakubwa. Hakuna anayemtuma na hakuna anayemsemea Bali anapenda kujisemea yeye kama mfano kwa yaliyomkuta.

Halipwi na chama chochote kuongea hayo Ila believe me, kwa sisi tunaomfahamu jamaa yupo vizuri sana upstairs na Magufuli aliona jamaa anamkagua na kuweka Mambo yake hadharani ndio maana alimtoa bila kufuata Katiba .
 
Analazimisha kuonekana ni mtu msomi anaejielewa ana misimamo.

Bahati mbaya alikutana na Chuma.

Nilichokuwa nampendea yule baba JPM ukijifanya wewe ni wa muhimu sana kwenye hii nchi yeye anakuonesha namna ulivyo takataka tu na nchi inaweza kwenda mbele bila wewe hahahah.

Profesa uliondolewa na kidume sasa unalialia nini!!?
Naye ss ameshakuwa takataka aka mbolea
 
Utatukana huku unatumia ndege na flyover kenge wewe
Hakuna hata kimoja hapo kilichofadhiliwa na mtu yeyote bali ni fedha za Watanzania na washirika wetu wa maendeleo hususan Japan(wamechangia zaidi ya 80% ya gharama za ujenzi wa flyover ya tazara tena mkataba wa ujenzi umesainiwa mwezi july 2015) sasa sijui ni nani unayefikiri aliuza ng'ombe zake ndio akajenga flyover na kutununulia ndege Watanzania.
 
Niliondolewa Ofisini kinyume na taratibu kwa sababu nilikuwa nasimamia na kufanya kazi kwa kufuata taratibu na miongozo ya kazi na sio maelekezo ya mtu,kuna mahali viongozi wetu wanashindwa kusimamia wanachokiamini kwa hofu ya kuporwa V8, wanahofu kukosa riziki.

Hili suala la kuniita CAG aliyemaliza muda wake binafsi linaniudhi, katiba ibara ya 144 inatamka wazi muda wa kumaliza na sababu za kukoma kuwa CAG, mimi nilipotolewa ofisini sikuwa nimemaliza muda wangu. Nadhani hatukuwa wazuri katika kusimamia katiba.

Mussa si jina langu, jina alilonipa baba yangu ni Jaffar. Wakati nasoma kulitokea matatizo fulani, ikabidi nitoke sehemu moja kwenda nyingine ili kumaliza masomo na hili jina la Mussa nikalipata huko ila watu wanaonifahamu wananijua kama Jaffar- Profesa Mussa Assad, CAG wa zamani.
Asante CAG kwa kulinda Heshima yako. Aliyetaka kukudhalilisha kasha danja wewe umebaki na heshima yako.
 
Analazimisha kuonekana ni mtu msomi anaejielewa ana misimamo.

Bahati mbaya alikutana na Chuma.

Nilichokuwa nampendea yule baba JPM ukijifanya wewe ni wa muhimu sana kwenye hii nchi yeye anakuonesha namna ulivyo takataka tu na nchi inaweza kwenda mbele bila wewe hahahah.

Profesa uliondolewa na kidume sasa unalialia nini!!?
Chuma kinakula kutu huko udongo wa chattle
 
Analazimisha kuonekana ni mtu msomi anaejielewa ana misimamo.

Bahati mbaya alikutana na Chuma.

Nilichokuwa nampendea yule baba JPM ukijifanya wewe ni wa muhimu sana kwenye hii nchi yeye anakuonesha namna ulivyo takataka tu na nchi inaweza kwenda mbele bila wewe hahahah.

Profesa uliondolewa na kidume sasa unalialia nini!!?
Chuma au Kibuyu Tu
 
Matagaaaaa 🎵🎶
Matagaaa wamepaniki🎶
Matagaaaaa
Mataga wamepaniki🎶🎵

Ukweli unawachoma
Tena unawachoma Sana🎶

Naona mmepaniki wazeee taratibu tutaelewana tu siku zote hua nawaambia Mwendawazimu jiwe alikua anasigina katiba mnapaniki kindezi
Haya wapi CAG Assad Musa?
😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom