Unadhani hata wewe mkuu ukipata madaraka utaacha kuiba? sema sisi tunaolalamika hatuna fursa hizo za kuibaTangu mwaka wa kwanza trilioni 1.5 ilipigwa nzima nzima, hii alisema Assad na kuanzia hapo akawa hasimu ya JPM, miaka 6 jamaa katuibia ngapi na ziko wapi?
Kigoma malima Alipoiba pesa zilionekana zipo benki za nje .Za JPM alizoiba zipo benki ipi ?Au ndio story tu za kutunga za Msoga na wenzake kujifurahishaTangu mwaka wa kwanza trilioni 1.5 ilipigwa nzima nzima, hii alisema Assad na kuanzia hapo akawa hasimu ya JPM, miaka 6 jamaa katuibia ngapi na ziko wapi?
Magufuli katumia Miradi, miradi mingi pesa hazikuizinishwa na Bunge, yeye alikuwa anaamuru pesa zitolewe tu.Kigoma malima Alipoiba pesa zilionekana zipo benki za nje .Za JPM alizoiba zipo benki ipi ?Au ndio story tu za kutunga za Msoga na wenzake kujifurahisha
Mkuu, Mfugale alipohojiwa na wazee wa system alipata presha palepale na akafa, kama ilivyokuwa kwa malima, akaunti zote zilikamatwa (frozen), Mfugale ndiye alikuwa anatunza fedha za wizi za JPMKigoma malima Alipoiba pesa zilionekana zipo benki za nje .Za JPM alizoiba zipo benki ipi ?Au ndio story tu za kutunga za Msoga na wenzake kujifurahisha
Una supporting documents ya hizi tuhuma zako?Magu katumia Miradi, miradi mingi pesa hazikuizinishwa na Bunge, yeye alikuwa anaamuru pesa zitolewe tu.
Kwenye miradi ndipo penye upigaji.
Akaenda mbali zaidi akawa anaipa Mayanga Construction tenda, ambayo ni Kampuni yake.
Unazitaka?Una supporting documents ya hizi tuhuma zako?
Thibitisha Mayanga construction ilikuwa ikimilikiwa na Hayati Magufuli, vijana msiwe mnapenda kuokotoza maneno huko mtaani ukiitwa ukatoe ushahidi unaweza kuthibitisha ya kwamba kampuni hiyo ilikuwa ni ya Magufuli.Magu katumia Miradi, miradi mingi pesa hazikuizinishwa na Bunge, yeye alikuwa anaamuru pesa zitolewe tu.
Kwenye miradi ndipo penye upigaji.
Akaenda mbali zaidi akawa anaipa Mayanga Construction tenda, ambayo ni Kampuni yake.
Yes tunazitaka.Unazitaka?
Tilia mkazo " wananchi bi wajanga sana"Hii nchi naona ni sawa tu kuiba maana wananchi wenyewe ni wajinga sn
Tuoneshe hiyo akaunti ya Mfugale yenye fedha za JPM.Mkuu, Mfugale alipohojiwa na wazee wa system alipata presha palepale na akafa, kama ilivyokuwa kwa malima, akaunti zote zilikamatwa (frozen), Mfugale ndiye alikuwa anatunza fedha za wizi za JPM