Prof. Anna Tibaijuka: Waandishi walipewa pesa ili kunichafua, sijawahi kutamka "pesa ya mboga"

Dada Vero alisema mwanasiasa akisema Ni asubuhi basi atatoka nje Kwanza kuhakiki kama jua limetoka au la!
 
Ana, ulikuwa msafi , very clean, ulipokuwa kwenye wasafi, umekuja kwa mashetani lazima uwe shetani! Na ulitoka nje ukaacha kazi UNDP??? ukijua kuwa hapa kuna fedha za nje nje.. ndiyo maana ukaacha "ujiko" wa majuu! na kuja huku. Na kweli ukazifuma za "bure".. Heshima yako uliiua mwenyewe baada ya kujiunga na mashetani wa kijani, ukijua fika kuwa humu kuna aknaLuciferili, nyoka wala watu, nunda wala watu etc
Hata leo unamsifia Jiwe pamoja na atrocities zinazoendelea chini ya utawala wake! Ulikuwa JF ukajitoa baada ya kuona kwa watakatifu hapakufai!
Sasa anajuta, miaka 10 ya ubunge imechafua c.v yake
 
Duh...!.
Huku sasa ni kuchafuana tuu fani za watu, wewe uzingiziwe uongo miaka 6 iliyopita, siku zote hizo ukae kimya usiseme ndio uje kuseme leo!.
Acha kutusingizia sisi waandishi tunahongwa!.
P
 
Ana, ulikuwa msafi , very clean, ulipokuwa kwenye wasafi, umekuja kwa mashetani lazima uwe shetani! Na ulitoka nje ukaacha kazi UNDP??? ukijua kuwa hapa kuna fedha za nje nje.. ndiyo maana ukaacha "ujiko" wa majuu! na kuja huku. Na kweli ukazifuma za "bure".. Heshima yako uliiua mwenyewe baada ya kujiunga na mashetani wa kijani, ukijua fika kuwa humu kuna aknaLuciferili, nyoka wala watu, nunda wala watu etc
Hata leo unamsifia Jiwe pamoja na atrocities zinazoendelea chini ya utawala wake! Ulikuwa JF ukajitoa baada ya kuona kwa watakatifu hapakufai!
Duh...!.
Malaika akijiunga na mashetani, anageuka shetani?, shetani akijiunga na malaika anageuka malaika?!
P
 
Duh...!.
Huku sasa ni kuchafuana tuu fani za watu, wewe uzingiziwe uongo miaka 6 iliyopita, siku zote hizo usiseme ndio uje tuseme leo!.
Acha kutusingizia sisi waandishi tunahongwa!.
P
Halafu alisema waandishi wote walihongwa kama yupo anayekataa asema ili yeye awaanike hadharani. Kaka kweli ulikosa donge nono ili umpake matope mama huyu asiye na hatia.? Hahaa
 
"Hela ya Mboga"-sijui kama kweli alitamka hilo, lakini kwa masikio yangu nilimsikia akisema "mimi na Mhongo ni majeme ya Kikwete" na siku iliyofuata Kikwete AKAWATUMBUA wote wawili.
 
Back
Top Bottom