Prof. Anna Tibaijuka na harakati za kurejesha Viwanja vya Wazi...

wanaotakiwa kupisha maeneo ya wazi wengi wao ndo waliochangia magamba uchaguzi uliopita, usitegemee kuwa prof atawaweza, mkono wao mrefu sana
 
Mama hatoki kabisa kila kona watu wanatupa makonde mazito ya lawama,kweli serikali imeoza.
 
Viwanja karibu vyote vya wazi imepora CCM na makada wake. Kwa hiyo sitarajii kama huyo mama anao ubavu wa kurudisha maeneo ya wazi.
 
wananchi waliovamia bonde la msimbazi kuvunjiwa nyumba zao na kugeuzwa bustani ya jiji, lakini serikali kutowalipa wananchi waliovamia na kujenga makazi yao bondeni
 
Viwanja vya wazi? Nchi hiii unaijua au unaisikia? Wamiliki wa viwanja vya wazi ndio wamiliki wa madaraka ya nchi hii leo useme unataka kuwanyang'anya viwanja vya wazi utafika mahala kweli? Mama alikuja na moto kumbe ulikuwa wa kifuuu akasikika siku mbili tu kwisha habari yake!!! Anataka kukimbilia Jangwani; jana nikaona Zungu amemkaba kooo kwelikweli sasa sijui mama leo itakuwaje.
 
Viwanja vya wazi? Nchi hiii unaijua au unaisikia? Wamiliki wa viwanja vya wazi ndio wamiliki wa madaraka ya nchi hii leo useme unataka kuwanyang'anya viwanja vya wazi utafika mahala kweli? Mama alikuja na moto kumbe ulikuwa wa kifuuu akasikika siku mbili tu kwisha habari yake!!! Anataka kukimbilia Jangwani; jana nikaona Zungu amemkaba kooo kwelikweli sasa sijui mama leo itakuwaje.

jana Elisha Elia amemuuliza kuwa mbona umezimia ghafla umepigwa stop? Akasema hakuna, ila kazi hii anaielewa sana na inahitaji professionalism. Sasa alipokuja na moto hakujua kuwa kazi aliyopewa inahitaji professionalism. Hapa Mama hukujibu kama Professor!!! It is apity kuwa unapokuja Tanzania na intelectuality yako toka nje, ukifika hapa unakuwa zezeta, msema uongo, ubabaishaji etc. Prof. umetuvunja maini tuliokutegemea uonyeshe mfano. Kweli Magamba wana nguvu. Afadhali ungelikataa uwaziri ukalinda heshima yako!!!! Kwaheri mama Profesa.
Prof. Byalema abalaileyo ngu lelo abazinduka!!! (samahani kwa kutumia kilugha nataka imuingie moyoni)
 
jana Elisha Elia amemuuliza kuwa mbona umezimia ghafla umepigwa stop? Akasema hakuna, ila kazi hii anaielewa sana na inahitaji professionalism. Sasa alipokuja na moto hakujua kuwa kazi aliyopewa inahitaji professionalism. Hapa Mama hukujibu kama Professor!!! It is apity kuwa unapokuja Tanzania na intelectuality yako toka nje, ukifika hapa unakuwa zezeta, msema uongo, ubabaishaji etc. Prof. umetuvunja maini tuliokutegemea uonyeshe mfano. Kweli Magamba wana nguvu. Afadhali ungelikataa uwaziri ukalinda heshima yako!!!! Kwaheri mama Profesa.
Prof. Byalema abalaileyo ngu lelo abazinduka!!! (samahani kwa kutumia kilugha nataka imuingie moyoni)

Ukiwa mtu muadilifu na mkweli huwezi kufanya kazi na magamba. Ndio maana watu kama Jenerali Ulimwengu walijiengua mapema; wakabaki kuwa wanaharakati!
 
jana Elisha Elia amemuuliza kuwa mbona umezimia ghafla umepigwa stop? Akasema hakuna, ila kazi hii anaielewa sana na inahitaji professionalism. Sasa alipokuja na moto hakujua kuwa kazi aliyopewa inahitaji professionalism. Hapa Mama hukujibu kama Professor!!! It is apity kuwa unapokuja Tanzania na intelectuality yako toka nje, ukifika hapa unakuwa zezeta, msema uongo, ubabaishaji etc. Prof. umetuvunja maini tuliokutegemea uonyeshe mfano. Kweli Magamba wana nguvu. Afadhali ungelikataa uwaziri ukalinda heshima yako!!!! Kwaheri mama Profesa.
Prof. Byalema abalaileyo ngu lelo abazinduka!!! (samahani kwa kutumia kilugha nataka imuingie moyoni)

Mkuu huyu mama uinta lectual wake ni wa hapahapa nchi alienda nao tu huko UN. Unaambiwa siasa ni hatari maprofessor wanageuka kuwa kama watoto wa chekechea wanakosa usomi wanaweza kuongea kitu ambacho hata mtoto ataona hakifai lakini neno Prof. bado ndio title yake. Ndio maana kwa wamarekani ukiingia kwenye siasa unaacha kuitwa Dr. ama Prof. kwa kuwa kwenye siasa hakuna vitu kama hivyo. Hapa kwetu wangang'ang'ania ila wanayoyafanya hayaendani na usomi wao ambao wanajipambanua nao!! Mama anashusha heshima yake aliyojijengea kwa muda mrefu!! Kwa majibu yale ina maana hakufuata sheria au? Mama ameshindwa kabla hajaanza!! Tanzania hatuna viwanja vya wazi utadhani hatuna maafisa mipango miji, kumbe wanapanga viwanja vya wazi na wengine wanakuja wanajinyakulia na kufanya vyao. Mama afadhali ajiengue tu manake anajidhalilisha
 
waliompa kazi hiyo ndiyo waporaji wakuu wa viwanja vya wazi
wengine waliopora viwanja wana urafiki wa karibu na waliompa kazi -- na yeye anaipenda kazi yake.

kokotoa.
 
waliompa kazi hiyo ndiyo waporaji wakuu wa viwanja vya wazi
wengine waliopora viwanja wana urafiki wa karibu na waliompa kazi -- na yeye anaipenda kazi yake.

kokotoa.

Mkuu, nakumbuka alisema kuwa hela ya kula anayo ya kumtosha maisha yaliyobaki, hivyo hatababaika na vijisent vya yeyote. hapa hakuna kuipenda kazi, ni kuchumia tumbo, ila kama alivyosema vijisent anavyo vya kumhifadhi sasa ya nini kuchafua heshima yako, uwekwe kwenye historia ya waliopora nchi hii?. Alikuwa hajaingia kwenye ulaji uliotukuka, alikuwa nje sasa yupo ndani, patamu. Lazima ubadilike!!!!!
 
Ni ngumu sana kufanya kitu na kuonekana katika serikali ambayo inasukumwa na mambo nyuma ya pazia......
Vitu vingi tunavyoviona ni zaidi ya hali halisi ya mambo na yanavyotakiwa kuwa...
Ndio maana hata Magufuli huyu sio yule....
Na bado watu hawa wanaweza kufanya zaidi ya hapa lakini.............. Mfumo hauruhusu!!!
 
Moja ya kazi ambazo Mama Tibaijuka ame weka mkazo ni kupambana na uvamizi wa maeneo ya wazi ..hili ni jambo jema..kwani jiji lenyewe tayari lipo ovyo sana katika mpangilio wake...
mfano aliingilia kati kule masaki na pale coco beach sehemu ambayo huwa jamaa wana jifunza magari..ile ni sehmu ya wazi
pia jirani yake baina ya coco beach na police mess alimzuia Manji kuendeleza sehemu ile kwa sababu ni sehemu ya wazi.
pia aliingilia kati pale Palm beach jamaa alipo zungusha uzio sehemu ya wazi.
na mifano mengine ipo.
sasa mimi langu Kwa mama..ni kwamba hizi sehemu za wazi ni muhimu kwa mipango ya miji, lazima jiji lipumue kuwe na sehemu ambazo ni maeneo yatakayo tumiwa na wakaazi kwa shughuli nyengine, haiwezekani jiji kila sehemu kuwe na majengo tu.

Lakini zoezi hili lisiwe kwa watu binafsi tu ..hata serikali iwekewe kipingamizi ina potaka kuvamia maeneo haya.
  • .Mfano kutoa kiwanja cha wazi pale ilipokuwa ofisi ndogo ya uhamiaji mkabala na jengo la zamani la Avalon Cinema , Sokoine drive ni kwenda kinyume na taratibu..ile sehemu ni ya wazi inatakiwa ibaki hivyo hivyo..kuna tatizo kubwa la packing kati kati ya jiji ..hii sehemu wamepewa Tasissi ya mwalimu Nyerere kinyume na taratibu na ujenzi wowote ni kinyume na mipango ya miji...ni sehemu ya wazi na ibaki ya wazi full stop.hapa City wametoa kiwanja hichi bila ya kuzingatia haya.
  • pia kuna kiwanja pale kisutu...Morogoro road na Libya street...hichi kiwanja zamani ilikua ni station ya mabasi yanayotoka mikoani kabla ya kuhamishwa. Hapa City walitoa tender ya kutafuta mtu wa kujenga majengo ya biashara kwa ubia...hapa pia ni kuvunja sheria za mipango ya mji..hii ni sehemu ya wazi....na cha kushangaza sasa hivi kuna wajanja fulani wamezungusha waya kile kiwanja na ukipaki wana kula hela ..na hizi hazijulikani zina kwenda wapi....Mama Tibaijuka hii sehemu ni ya wazi..kama ni kuindeleza basi hapa panafaaa kujengwa jengo la maegesho kupunguza tatizo hili katikati ya mji na si kujenga majengo ya biashara ambayo tunayo ya kutosha katikati mji...

Kama utasoma haya uyatolee majibu haya na ikiwezekana uoneshe kwamba hata serikali ama taasisi zake nazo lazima ziheshimu mipango ya jiji
 
hili pango linaloitwa 'ccm' ni la maajabu sana, yaana hata mtu aje na uwezo kiasi gani from that point anaanza ku grow negatively (downward)! ...ni bora chama kifutwe kama wazee walivyoshauri huko nyuma.
Nikifikiria credibility ya mama Prof. najisikia vibaya sana!

CCM hata akiletwa yesu mwenyewe watambadilisha awe fisadi.
 
Back
Top Bottom