Byendangwero
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 871
- 56
Napenda nianze kwa kutoa pongezi zangu za dhati uthubutu wako.
Pamoja na pongezi hizo, naomba nitoe tahadhari kwamba ni vigumu kupata mafanikio katika vita hivyo, katika mfumo wa sasa unaoendekeza ufisadi. Ujuavyo hao wote unao wanyanganya viwanja watakimbilia mahakamani, na kuna uwezekano mkubwa mawakili watakaokuwa wanatetea upande wa serikali kwa makusudi au kwa kutokuwa na uwezo, watatoa utetezi dhaifu. Matokeo yange serikali itaamriwa kulipa fidia za mabilioni ya fedha.
Hivyo nashauri kwa kesi zitakazofunguliwa kutokana na zoezi hili, uhakikishe wewe mwenyewe, kwa wanapatikana wanasheria makini na wasio mamluki, kwa upande wa serikali.
Pamoja na pongezi hizo, naomba nitoe tahadhari kwamba ni vigumu kupata mafanikio katika vita hivyo, katika mfumo wa sasa unaoendekeza ufisadi. Ujuavyo hao wote unao wanyanganya viwanja watakimbilia mahakamani, na kuna uwezekano mkubwa mawakili watakaokuwa wanatetea upande wa serikali kwa makusudi au kwa kutokuwa na uwezo, watatoa utetezi dhaifu. Matokeo yange serikali itaamriwa kulipa fidia za mabilioni ya fedha.
Hivyo nashauri kwa kesi zitakazofunguliwa kutokana na zoezi hili, uhakikishe wewe mwenyewe, kwa wanapatikana wanasheria makini na wasio mamluki, kwa upande wa serikali.