Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,026
Jiwe naye afuate mfano huohuo kwa hiari la sivyo hasira ya mungu itamwangukia .
Balozi ana uzoefu nadhani atawamwaga
Eleza umalotaka kueleza ili unibadili niliyoandika.. ungekuwa na la maana la kuandika husimgeniuliza maswali ya huko mkoani kwenu.. sijui kijijini kwenu.. watu wa kabila hilo maringo yamewajaaa tu.. angetemwa.. anaondoka kwa kuwa hajapeea kazi.. mama wa mgawo wa zile pesa.. fis...
Mkuu Un vice secretary hakuwa yeye,Utakuwa na chuki naye sio bure.
Huwezi ukamlinganisha na wew huyo mtu.
Heshima yake itabaki pale pale alikuwa mwanamke wa Kwanza kuwa UN vice secretary.kama hutaki jinyonge.
Lakini walau muleba amefanya kitu amajenga Barabara,masoko na mashule kibao kuliko wabunge wengine wengi ambao hawafanyi lolote
Keshasema anazirudisha... je wamezitumia kwa muda gani? Je walijikopesha kama soft loans? Je wanazirudisha bila fidia?Arudishe hela za ESCROW kwanza
Mbona unaandika mafumbo mnaogopana? Kesho tu mtamsifia...Eleza unalotaka kueleza ili unibadili niliyoandika.. ungekuwa na la maana la kuandika husimgeniuliza maswali ya huko mkoani kwenu.. sijui kijijini kwenu.. watu wa kabila hilo maringo yamewajaaa tu.. angetemwa.. anaondoka kwa kuwa hajapeea kazi.. mama wa mgawo wa zile pesa.. fis...
Baaasi!!!??? Maendeleo binafsi!! Na Lusinde jee?Mkuu ndugai ana loji kule, kilimo kwa mfano na vituo kadhaa vya mafuta ya taa. Umeme wa rea pia umepita kule kijijini. Oo kuna shamba la miti pia.