Prof, anakula “chama chao”.!

Nonda

JF-Expert Member
Nov 30, 2010
13,358
4,304
Kuna profesa mmoja pale Mlimani, alikuwa baada ya kumaliza lecture, anaongozana na wanafunzi kuelekea lunch kwa mama ntilie. Sasa nasikia wanaitwa mama lishe.

Akifika huko, mama ntilie anamuuliza,, "prof utakula nini leo?"
Prof anajibu, « kama kawaida, nipatie chama chetu. »
Mama ntilie, anacheka na kumwambia, « prof. huachi visa vyako. »

Wanafunzi pia wanamshangaa prof.

Halafu, wanafunzi wanaona, prof analetewa, Chai, Chapati na Mahalage! "(ccm)"

Kikifika mezani, prof anasema ," Kidumuuu!"

Halafu anaanza kula.

Vijana hawana mbavu! teh, teh, teh, ,kwi,kwi, kwi, kwe , kwe ,kwe.

Wanasema, "Aisee, Prof bwana!"
 
Kuna profesa mmoja pale Mlimani, alikuwa baada ya kumaliza lecture, anaongozana na wanafunzi kuelekea lunch kwa mama ntilie. Sasa nasikia wanaitwa mama lishe.

Akifika huko, mama ntilie anamuuliza,, "prof utakula nini leo?"
Prof anajibu, « kama kawaida, nipatie chama chetu. »
Mama ntilie, anacheka na kumwambia, « prof. huachi visa vyako. »

Wanafunzi pia wanamshangaa prof.

Halafu, wanafunzi wanaona, prof analetewa, Chai, Chapati na Mahalage!

Kikifika mezani, prof anasema ," Kidumuuu!"

Halafu anaanza kula.

Vijana hawana mbavu! teh, teh, teh, ,kwi,kwi, kwi, kwe , kwe ,kwe.

Wanasema, "Aisee, Prof bwana!"


Hahahaha! so funny!! but its good socially coz being a Prof. doesnt mean u dont have to eat to Mamalishe provided that food hagiene is practiced there. Big up to that Prof.
 
Hahahaha! so funny!! but its good socially coz being a Prof. doesnt mean u dont have to eat to Mamalishe provided that food hagiene is practiced there. Big up to that Prof.

Definetly.big up prof.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom