December 18, 2019
Prof. Adolf Mkenda anaelezea vigezo vya maendeleo ya binadamu .
NI NGUMU KUJENGA DEMOKRASIA KAMA KUNA TOFAUTI YA KIUCHUMI rof Aldof Mkenda Kichambua taarifa ya maendeleo.
Kipato:
Prof Aldof Mkenda amesema tofauti ya kipato katika demokrasia inasababisha kupoteza haki ya kuchangua kwa sababu wenye kipato wataendelea kushinda uchaguzi kwani mwenye shilingi nyingi ana 'kura' nyingi.
Prof. Adolf Mkenda anasisitiza nchi inapowekeza ktk elimu, afya, miundo-mbinu isikazanie kuwekeza ukanda mmoja kwa sababu fulani fulani bali serikali ifanye uchambuzi yakinifu ili sehemu zingine zisibaki nyuma.
Source: Global TV online
Prof. Adolf Mkenda anaelezea vigezo vya maendeleo ya binadamu .
NI NGUMU KUJENGA DEMOKRASIA KAMA KUNA TOFAUTI YA KIUCHUMI rof Aldof Mkenda Kichambua taarifa ya maendeleo.
Kipato:
Prof Aldof Mkenda amesema tofauti ya kipato katika demokrasia inasababisha kupoteza haki ya kuchangua kwa sababu wenye kipato wataendelea kushinda uchaguzi kwani mwenye shilingi nyingi ana 'kura' nyingi.
Prof. Adolf Mkenda anasisitiza nchi inapowekeza ktk elimu, afya, miundo-mbinu isikazanie kuwekeza ukanda mmoja kwa sababu fulani fulani bali serikali ifanye uchambuzi yakinifu ili sehemu zingine zisibaki nyuma.
Source: Global TV online