Mwigulu nchemba anafurahia uchaguzi urudiwe ili aende kwa yule mke wa kada wa ccm aliyefumaniwa naye.Jamaa anataka akamalizie kazi aliyoianzisha huko igunga
Naona maprofesa na madaktari wote wanaotoa maoni juu ya kupunguza gharama za uchaguzi kwa kumkaimisha mshindi wa pili katika kura za maoni za vyama husika wanakosea na pengine hawajafikiria zaidi ya upande mmoja.
1.Washindi wa kura za maoni hupigiwa kura na wanachama na wapenzi wa chama husika.
2.Wagombea ubunge hupigiwa kura na makundi mbalimbali, kuna uwezekano aliyepiga kura akawa kapiga kura kwa sababu ni mwanachama wa chama husika au akawa si mwanachama na vilevile wapo wanaopiga kura kwa kuwa wana imani na mahaba kwa mgombea, mwisho wapo wanaopiga kura kwa kuwa tu wamepewa takrima au chochote kitu.
Kama ukiitafakari hii kauli yangu namba mbili,binafsi ninaamini kabisa, mbunge kama akifariki au akivuliwa ubunge, mwakilishi wa chama kinachoshika nafasi ya pili ndio akaimishwe nafasi iliyoachwa wazi.......
Naona maprofesa na madaktari wote wanaotoa maoni juu ya kupunguza gharama za uchaguzi kwa kumkaimisha mshindi wa pili katika kura za maoni za vyama husika wanakosea na pengine hawajafikiria zaidi ya upande mmoja.
1.Washindi wa kura za maoni hupigiwa kura na wanachama na wapenzi wa chama husika.
2.Wagombea ubunge hupigiwa kura na makundi mbalimbali, kuna uwezekano aliyepiga kura akawa kapiga kura kwa sababu ni mwanachama wa chama husika au akawa si mwanachama na vilevile wapo wanaopiga kura kwa kuwa wana imani na mahaba kwa mgombea, mwisho wapo wanaopiga kura kwa kuwa tu wamepewa takrima au chochote kitu.
Kama ukiitafakari hii kauli yangu namba mbili,binafsi ninaamini kabisa, mbunge kama akifariki au akivuliwa ubunge, mwakilishi wa chama kinachoshika nafasi ya pili ndio akaimishwe nafasi iliyoachwa wazi.
Sikubaliani na hoja ya mshindi wa pili katika kura za maoni za chama kilichoshinda kimizengwe kwamba ndio awe anachukua nafasi, wakati kuna mshindi wa pili halali aliyechaguliwa na wananchi.
Aiseee baba yangu mwisho wa c c m unakaribia chadema wakae mkao wa kula kuongoza nchii
ngoja niamke nikapate supu na kisusio
Tehe tehe teheee mtani wangu Kashaijabutege hapo umefanya utani wa kweli......
Jamani MWITA MARANYA, MATOLA na MKANDARA mbona mnaenda nje ya mada?. Hebu tujadili maudhui ya uzi husika, msijikite udini tu wakati hilo sio kusudio la mleta mada.
Ccm wanajitahidi kushika kila pembe ili wasianguke kwa kuwa wamezoea kufanya michezo michafu. Hizi kwa mtu mwenye akili anaweza kusema kuwa haridhiki na zile hoja zilizo mvua ubunge kafumu? Inahitaji kuwa na akili za maiti aisee.
1. Hoja ya Rage kupanda jukwaani na bastola Nape hajaridhika nayo?
2. Kauli ya magufuli kuwa wana igunga wasipo ichakua ccm hawajengewi daraja, nayo pia Nape haikubali?
3. Ustadhi wetu kuwa elekeza waislamu wenzangu kuto kumchagua mgombea wa chadema kwa kuwa wamemvua hijabu mkristo mwenye jina la kiislamu. Na bado haikuwa hijabu ni mtandio.
4. Kugawa mahindi wakati wa uchaguzi wakati hakukuwa na tishio lolote la njaa na wala hakukuwa hata na dalili ya watu kupoteza uhai kwa njaa.
Ccm inakufa vibaya.
hILI NDIYO TATIZO KUBWA LA WASOMI WETU WANFIKIRI KWAMBA WAO PEKE YAO NDIYO WANO uwezo wa kufikiri na kuchambua kumbe wanajidhalilisha.Hivi kweli prof. mzima unadiriki kushauri mshindi wa kura za maoni ashike nafasi, wanafahahamu kwamba mshindi wa kura za maoni maepigiwa na wanachama wa cham chake?????? huyo hajapigiwa kura na wananchi kwa ujumla wao.Kweli wasomi tunao.shame on you academician.Ndiyop maaana kazi yenu ni kufelisha wanafunzi si kwenu ni kufeli wanafunzi wengi ndiyo mnajifariji nayo
Mimi nilijua Chadema haina imani na mahakama zetu, sasa mbona bado mashauri yanapelekwa huko ilihali wao wanajua huwa hawatendewi haki?.....