Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,100
- 5,649
Huyo Profesa si analipwa lakini?
Either way.
Huyo Profesa si analipwa lakini?
Hali ya ccm ni TETE.
Katika hali ambayo vibaraka wa ccm hawataweza kuipotosha na CD zao za udini na ukabila, jana Prof aliudhihirishia umma wa wa watanzania na dunia kuwa, kwenye harakati za ukombozi wa nchi kupitia M4C sisi sote ni ndugu, tatizo ni ccm pekee yake kwa mustakabali wa taifa hili na watu wake.
Utayarishaji wa kesi ya kupinga Ushindi feki wa Dr. Kafumu Igunga, ufuatiliaji na usimamiaji wa hoja zote za kesi hii ulifanywa kizalendo sana na Prof Safari.
Bila shaka CCM watakuwa walijaribu kumshawishi Prof kwa sera zao za ukabila na udini au kumpa rushwa ili alegeze kamba lakini Prof. aliamua kuupuuza ujinga wao, akafuata njia iliyosahihi na ya haki, kwa sababu anaipenda nchi yake na watu wake, lakini zaidi anakipenda chama chake cha CHADEMA. Ndiyo maana jana na leo tunasherehekea nchi nzima ushindi wa haki dhidi ya dhuluma jimbo la Igunga.
Wito wangu kwa Watanzania wote wanaopotoshwa na ccm kwa sera yao ya Ukabila na Udini au fedha, wapuuzeni na muwe wazalendo wa kweli kama Prof. A.Safari ili sote kwa pamoja tuikomboe nchi yetu mapema iwezekanavyo.
!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! SISI SOTE NI NDUGU, TATIZO LETU SUGU NI CCM !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Binafsi namwamini sana Prof. Safari kwani ni mtu makini, asiye na papara, mwaminifu, anayeichukia dhulma kwa dhati, mwenye mapenzi ya kweli kwa imani yake na nchi yake na si mnafiki. Natamani angekuwa mbunge wa jimbo fulani nina uhakika angelichangamsha sana bunge kwa hoja zake zisizo za kinafiki na kujipendekeza kwa watawala. CHADEMA ina kila sababu za kujivunia timu yake wa wapiganaji wenye weledi, makini na wenye mtazamo wa mbali tofauti na wenzao ambao kwa bahati mbaya wamesheheni watu wanaotumia matumbo kufikiri na kuamua!Bila shaka CCM watakuwa walijaribu kumshawishi Prof kwa sera zao za Ukabila na Udini au kumpa rushwa ili alegeze kamba lakini Prof aliamua kuupuuza ujinga wao, akafuata njia iliyosahihi na ya haki, kwa sababu anaipenda nchi yake na watu wake, lakini zaidi anakipenda chama chake cha CHADEMA. Ndiyo maana jana na leo tunasherehekea nchi nzima ushindi wa haki dhidi ya dhuluma jimbo la Igunga.
Nakubaliana na wewe ya kwamba huwezi kuwa MZALENDO ama kudai Uzalendo kama utapingana na jitigada za chama cha CDM ktk kumkomboa Mtanzania. Lakini fahamu ya kwamba Uzalendo unatokana na imani ya Utaifa wetu kwa kuenzi tamaduni na mila zetu. Hivyo yule mkristu aliyeko Chadema lakini anapingana na tofauti zake na Waislaam ktk ujenzi wa Tiafa hili huyu sii Mzalendo..Katika hali ambayo vibaraka wa ccm hawataweza kuipotosha na CD zao za Udini na Ukabila, jana Prof aliudhihirishia umma wa Watanzania na dunia kuwa, kwenye harakati za ukombozi wa nchi kupitia M4C sisi sote ni ndugu, tatizo ni ccm peke yake kwa mustakabali wa taifa hili na watu wake.
Utayarishaji wa kesi ya kupinga Ushindi feki wa Dr. Kafumu Igunga, ufuatiliaji na usimamiaji wa hoja zote za kesi hii ulifanywa kizalendo sana na Prof Safari.
Bila shaka CCM watakuwa walijaribu kumshawishi Prof kwa sera zao za Ukabila na Udini au kumpa rushwa ili alegeze kamba lakini Prof aliamua kuupuuza ujinga wao, akafuata njia iliyosahihi na ya haki, kwa sababu anaipenda nchi yake na watu wake, lakini zaidi anakipenda chama chake cha CHADEMA. Ndiyo maana jana na leo tunasherehekea nchi nzima ushindi wa haki dhidi ya dhuluma jimbo la Igunga.
Wito wangu kwa Watanzania wote wanaopotoshwa na ccm kwa sera yao ya Ukabila na Udini au fedha, wapuuzeni hao ccm na muwe wazalendo wa kweli kama Prof. Safari ili sote kwa pamoja tuikomboe nchi yetu mapema iwezekanavyo.
!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! SISI SOTE NI NDUGU, TATIZO LETU SUGU NI CCM !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Tatizo letu SUGU... ni CCM.
Sijui Sugu naye ataweza kusema hilo?
On the real though, this is a distinction from "tatizo letu CCM".
we mchizi huwa unanifurahisha sana yaani siku zote huwa unakuja kwa ajili ya kubisha. Lakini mchizi una kipaji aisee!
rufaa ya ubungo na arusha lazima mnyolewe bila wembe
Utaweza vipi kuweka equal rights pasipo kujali madai ya makundi yetu?..Utawezaje kusema ELIMU sawa kwa wote lakini usijali tofauti zilizopo baina ya wanawake na wanaume?. Justice itaweza tu kutumika kwa kutambua kwamba wanawake wamedai kutoshirikishwa ktk maswala ya elimu na ujenzi wa taifa isipokuwa wakiambiwa mahala pao ni jikoni, halafu kwa kumbeza madai yoyote ya kutokuwa na elimu ni kutokana na yeye kukaa jikoni wakati watu wengine wanakwenda kusoma. Hivi ndivyo tunavyowasikia nyie Mkitutukana waislaam wakati tunajua mnaamini kuwa Waislaam sio watu wa kuthaminiwa sawa.Mkandara siku zote mimi huwa nashindwa kuelewa ni yepi madai ya Watanzania na ni yepi madai ya Waislamu na ni yepi madai ya Wahindu na ni yepi madai ya wapagani?
Nategemea mtu mkongwe kama wewe usifunikwe na kilemba cha dini kwa kila mtu ana uhuru wa kuabudu, kinachotakiwa wote tukipioganie ni Equal Rights & Justice for all.
Haya mambo ya madai ya Waislamu mimi kwangu naona ni ku entertain mambo ya udini tu.
CCM ndio mwasisi wa udini.. na lazima uwatafune
...tumeona mchango wa Godbless Lema (CHADEMA) aliyevuliwa ubunge wa Arusha. Vipi mchango wa Aeshy (CCM) aliyevuliwa ubunge Sumbawanga mjini? Karibu Kafumu usaidie kuiimarisha CCM yetu inayozidi kuporomoka kila kukicha
Hivi nyie huwa mnaanza na viroba kabla ya kuandika? Kwani mtu kuwa mzalendo maana yake ni kutolipwa?
Narudia kauli yangu ya awali "SERIKALI YA CCM PIGA MARUFUKU VIROBA AU WAAMURU WATENGENEZAJI WAPUNGUZE ALCOHOLIC CONTENT YAKE".