kwa-muda
JF-Expert Member
- Sep 5, 2018
- 1,163
- 2,223
Huyu kijana kwa sasa ni mtayarishaji wa mziki ambaye ana run kwa sasa. Anajua na mziki wake unabadirika badirika.
Baadhi ya ngoma alizogonga ni
Solo - OMG
Ona - Lulu Diva ft Rich Mavoko
Asichukulie Poa - Shebby Medicine
Simwachii Mungu _joh makini
Dubai _ Nick 2
Yani kwasasa asilimia kubwa ya hits amezitengeneza yeye. Ningependa kujua kwa anayemfahamu ametokea wapi na alikuwa wapi maana kaibuka ghafla baada ya Lufa kuondoka kwa switcher
Baadhi ya ngoma alizogonga ni
Solo - OMG
Ona - Lulu Diva ft Rich Mavoko
Asichukulie Poa - Shebby Medicine
Simwachii Mungu _joh makini
Dubai _ Nick 2
Yani kwasasa asilimia kubwa ya hits amezitengeneza yeye. Ningependa kujua kwa anayemfahamu ametokea wapi na alikuwa wapi maana kaibuka ghafla baada ya Lufa kuondoka kwa switcher