Niccolo Machiavelli
JF-Expert Member
- Feb 7, 2017
- 1,881
- 3,636
Mimi sio mpenzi sana wa miziki ya Bongo Flava ya siku hizi kwa sababu beat zake asilimia 90 zimetengenezwa kwa kompyuta.
Kipindi nasoma Secondary School tulikuwa na music lessons. Tulifunzwa kusoma music notes na kucheza instruments kama recorder, guitar na keyboard.
Twende kwenye mada sasa. Leo mdogo wangu wa kike kacheza muziki wa Malkia Karen (mtoto wa Gardner Habash) uitwao “tutoke”. Beat ya hii nyimbo imenikosha sana aisee. Instruments zinasikika vizuri sana aisee. Hakuna kuchakachua. Nyimbo nimeicheza siku nzima kwenye gari yangu.
Producer Man Water Mungu akuweke!
Kipindi nasoma Secondary School tulikuwa na music lessons. Tulifunzwa kusoma music notes na kucheza instruments kama recorder, guitar na keyboard.
Twende kwenye mada sasa. Leo mdogo wangu wa kike kacheza muziki wa Malkia Karen (mtoto wa Gardner Habash) uitwao “tutoke”. Beat ya hii nyimbo imenikosha sana aisee. Instruments zinasikika vizuri sana aisee. Hakuna kuchakachua. Nyimbo nimeicheza siku nzima kwenye gari yangu.
Producer Man Water Mungu akuweke!