LEX STEELE
JF-Expert Member
- Jul 16, 2011
- 224
- 110
Natafuta picha za harusi sizipati lakini habari ni kuwa huyu prodyusa wa mziki ambaye aliyewahi kuseama kuwa ana alergy na hali ya hewa ya Tanzania ameoa mtoto wa rais mwinyi.
Habari zilizokuwa posted kwenye blog ya dada wa Marekani zinasema alioa mjukuu lakini ukweli ni kuwa ameoa mtoto wa Rais mstaafu
John mahundi ni mtoto wa aliyekuwa mkuu wa polisi Mahundi
Hongera John