Producer John Mahundi aoa mtoto wa Rais Mwinyi

LEX STEELE

JF-Expert Member
Jul 16, 2011
224
110
IMG_1408-600x400.jpg

Natafuta picha za harusi sizipati lakini habari ni kuwa huyu prodyusa wa mziki ambaye aliyewahi kuseama kuwa ana alergy na hali ya hewa ya Tanzania ameoa mtoto wa rais mwinyi.

Habari zilizokuwa posted kwenye blog ya dada wa Marekani zinasema alioa mjukuu lakini ukweli ni kuwa ameoa mtoto wa Rais mstaafu

John mahundi ni mtoto wa aliyekuwa mkuu wa polisi Mahundi

Hongera John
 
IMG_1408-600x400.jpg

Natafuta picha za harusi sizipati lakini habari ni kuwa huyu prodyusa wa mziki ambaye aliyewahi kuseama kuwa ana alergy na hali ya hewa ya Tanzania ameoa mtoto wa rais mwinyi.

Habari zilizokuwa posted kwenye blog ya dada wa Marekani zinasema alioa mjukuu lakini ukweli ni kuwa ameoa mtoto wa Rais mstaafu

John mahundi ni mtoto wa aliyekuwa mkuu wa polisi Mahundi

Hongera John
Ndo yupi kati ya hao 4??
 
Nakumbuka ndiye producer wa song la sista sista ya Crazy GK na Paline Zongo!
 
Kwa hiyo John Mahundi amesilimishwa kabla ya kukabidhiwa jiko?

Inawezekana ni Majina tu lakin ni Muislam

Kama kweli ni Mtoto wa X IGP Haroun Mahundi Basi baba yake alikuwa Muslim japo sina uhakika wa dini

Mie ninachowaza kwa Umri wa Mzee Mwinyi wa Miaka zaid ya 90 Ina maana bado alikuwa na Mtoto wa kuolewa na huyo Kijana

Kama Mpaka Umri wa Miaka 60 Mzee alikuwa anapiga Mashine maana yake Mtoto wake wa Mwisho atakuwa above 30!
Kweli kuchoka kwa bodi sio laZima iwe inamaanisha na engine imechoka
 
Inawezekana ni Majina tu lakin ni Muislam

Kama kweli ni Mtoto wa X IGP Haroun Mahundi Basi baba yake alikuwa Muslim japo sina uhakika wa dini

Mie ninachowaza kwa Umri wa Mzee Mwinyi wa Miaka zaid ya 90 Ina maana bado alikuwa na Mtoto wa kuolewa na huyo Kijana

Kama Mpaka Umri wa Miaka 60 Mzee alikuwa anapiga Mashine maana yake Mtoto wake wa Mwisho atakuwa above 30!
Kweli kuchoka kwa bodi sio laZima iwe inamaanisha na engine imechoka

Aaron Mahundi ex IGP alikuwa muislam toka lini? Mbona kwenye blog ya mange wamesema John ilibidi alisilim ndio apewe mke?

Huyu brazameni kama sijakosea alikuwa ni producer wa akina Gangwe Mob na Kwanza Unit ya akina Nigga One (adili na mwamba) kama sijakosea
 
Inawezekana ni Majina tu lakin ni Muislam

Kama kweli ni Mtoto wa X IGP Haroun Mahundi Basi baba yake alikuwa Muslim japo sina uhakika wa dini

Mie ninachowaza kwa Umri wa Mzee Mwinyi wa Miaka zaid ya 90 Ina maana bado alikuwa na Mtoto wa kuolewa na huyo Kijana

Kama Mpaka Umri wa Miaka 60 Mzee alikuwa anapiga Mashine maana yake Mtoto wake wa Mwisho atakuwa above 30!
Kweli kuchoka kwa bodi sio laZima iwe inamaanisha na engine imechoka
John ni mtoto wa Mahundi, hilo halina shaka...!

Kuhusu Mzee Mwinyi... anyway, sie wengine enzi zile tulikuwa bado wadogo lakini kama mwenzangu ulishakuwa mtu mzima kidogo basi nadhani utakumbuka suala la Mheshimiwa Mwinyi kuoa dogo dogo wakati yupo Ikulu, unless kama walimzulia!!

Nakumbuka, ilisemekana dogo dogo mwenyewe alikuwa ni binti wa Marehemu Kitwana Kondo!

Sasa kama ni kweli, kwa ndoa kama hiyo haishangazi kutoa binti rika la John kwa sababu, John sio mdogo kihivyo... he's at late 30's.
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom